Kweli hakuna ajuae kesho hata mtunzi wa kalendaVideo : Rais mpya wa Zambia Hichilema alipovuliwa viatu na mkanda wakati akiingizwa selo miaka michache iliyopita kwa amri ya Rais wa wakati huo Edgar Lungu
View attachment 1897053
asante sana mkuuView attachment 1897213
Huu ushirika haukuwa bure...OCD Lwelwe Mhina alifanya kazi kubwa Hai
View attachment 1897283
Sabaya alipokamatwa, OCD Mhina akahamishiwa Kilosa...kama asante? Kwa kazi gani?
View attachment 1897236
View attachment 1897285
Uchunguzi ukaonesha kuwa OCD Mhina hakuvunja kanuni wala taratibu
Je kanuni na taratibu za polisi ni pamoja na kupambana na Chadema?
Na huko Kilosa bado anaendelea kupambana kweli kweli na Chadema!
Siro anasubiri apate barua kutoka wapi?!Huyo OCD bado hajapelekwa mahakamani hadi leo.?!
Ni suala la muda tu!Video : Rais mpya wa Zambia Hichilema alipovuliwa viatu na mkanda wakati akiingizwa selo miaka michache iliyopita kwa amri ya Rais wa wakati huo Edgar Lungu
View attachment 1897053
Polisi wamepewa barua na nani ya kumkamata huyo kamanda?
Hii ndiyo Taarifa ya hujuma mpya inayosambaa mitandaoni kwa sasa , kwamba David Chiduo ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Kilosa amekamatwa na kuwekwa selo kwa Tuhuma za kuhamasisha maombi kwa wanachama wa Chadema wa Wilaya hiyo kwa ajili ya kumuombea Freeman Mbowe , aliyewekwa gerezani na watawala wa Tanzania kwa tuhuma za uzushi za Ugaidi .
Ikumbukwe kwamba OCD wa Kilosa ni ndugu Lwelwe Mpina aliyekuwa OCD wa Hai na ambaye alishirikiana na Ole Sabaya kwenye masuala yote ya ujambazi wa kutumia Silaha na uporaji , badala ya Lwelwe Mpina kuunganishwa kwenye kesi za Sabaya , akahamishwa na Sirro ili akajifiche Kilosa , ambako bado anaendeleza unyama ule ule alioufanya Hai akijiamini kwamba ataendelea kulindwa .
Mungu ibariki Chadema
Hakuna nchi ya hivo duniani.Eti wapumbavu wanasema Tanzania ni nchi ya amani,amani siyo kutokuwa na vita nchi bali ni furaha na uhuru wa kweli kwa raia katika taifa lao
Lakini na yeye si anapitia machungu ya watawala wasio na hekima?Huyu mwamba unamfananisha na faru John?. Hilo genge lenu la Ufipa lipo so disorganized, hakuna mwananchi mwenye akili timamu anayeweza kuwaamini magaidi.
Huyu mungu wako hatumsumbui wala hatuhusu,sisi tunamlilia MUNGU MUUMBA MBINGU NA ARDHI,NA HAKIKA ATAJIBU...MSIMSUMBUE mUNGU NA MAMBO YENU YAA AJABU AJABU ANA KAZI NYINGI SANA
Nimeamini ugonjwa wa akili ni mojawapo ya magonjwa mtambukaTangu lini gaidi akaombewa?
Kwa hiyo baada ya kuamini utafanya nini sasa?Nimeamini ugonjwa wa akili ni mojawapo ya magonjwa mtambuka
kifuatacho ni kukupiga kamba na kukupeleka kwa MwamposaKwa hiyo baada ya kuamini utafanya nini sasa?
Haya, tuone itakuwaje.kifuatacho ni kukupiga kamba na kukupeleka kwa Mwamposa
Ndg zangu twajidanganya sana. Hali halisi huku si kama usemavyo. Matendo ya serikali kwa chadema yanakiinua sana hiki chama. Kutegemea nguvu za dola kuna mwisho wake. Tutalia muda si mrefu.Huyu mwamba unamfananisha na faru John?. Hilo genge lenu la Ufipa lipo so disorganized, hakuna mwananchi mwenye akili timamu anayeweza kuwaamini magaidi.
Kwenye baadhi ya mada nakuomba jaribu kuonyesha wewe ni mtu mzima mwenye heshima yako na uelewa wa mambo.MSIMSUMBUE mUNGU NA MAMBO YENU YAA AJABU AJABU ANA KAZI NYINGI SANA
unajua sana kiingereza kuliko mwendazakeCHADEMA haitawahi kuleta maendeleo yoyote kwenye hii nchi. Hata hiyo KATIBA MPYA haitaletwa na CHADEMA Bali italetwa na CCM, naamini hivyo.
CHADEMA is a disorganized political party with no visionary leadership.
Probably!!!unajua sana kiingereza kuliko mwendazake
Kama hayo ni ya kweli, si mngekuwa mmeishaacha kuhangaika nao, kila siku.Huyu mwamba unamfananisha na faru John?. Hilo genge lenu la Ufipa lipo so disorganized, hakuna mwananchi mwenye akili timamu anayeweza kuwaamini magaidi.