Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Kilosa akamatwa na Polisi kwa tuhuma za kuhamasisha maombi kwa ajili ya Mbowe

Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Kilosa akamatwa na Polisi kwa tuhuma za kuhamasisha maombi kwa ajili ya Mbowe


Hii ndiyo Taarifa ya hujuma mpya inayosambaa mitandaoni kwa sasa , kwamba David Chiduo ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Kilosa amekamatwa na kuwekwa selo kwa Tuhuma za kuhamasisha maombi kwa wanachama wa Chadema wa Wilaya hiyo kwa ajili ya kumuombea Freeman Mbowe , aliyewekwa gerezani na watawala wa Tanzania kwa tuhuma za uzushi za Ugaidi .

Ikumbukwe kwamba OCD wa Kilosa ni ndugu Lwelwe Mpina aliyekuwa OCD wa Hai na ambaye alishirikiana na Ole Sabaya kwenye masuala yote ya ujambazi wa kutumia Silaha na uporaji , badala ya Lwelwe Mpina kuunganishwa kwenye kesi za Sabaya , akahamishwa na Sirro ili akajifiche Kilosa , ambako bado anaendeleza unyama ule ule alioufanya Hai akijiamini kwamba ataendelea kulindwa .

Mungu ibariki Chadema
Polisi wamepewa barua na nani ya kumkamata huyo kamanda?
 
Huyu mwamba unamfananisha na faru John?. Hilo genge lenu la Ufipa lipo so disorganized, hakuna mwananchi mwenye akili timamu anayeweza kuwaamini magaidi.
Lakini na yeye si anapitia machungu ya watawala wasio na hekima?
 
CHADEMA haitawahi kuleta maendeleo yoyote kwenye hii nchi. Hata hiyo KATIBA MPYA haitaletwa na CHADEMA Bali italetwa na CCM, naamini hivyo.

CHADEMA is a disorganized political party with no visionary leadership.
 
Huyu mwamba unamfananisha na faru John?. Hilo genge lenu la Ufipa lipo so disorganized, hakuna mwananchi mwenye akili timamu anayeweza kuwaamini magaidi.
Ndg zangu twajidanganya sana. Hali halisi huku si kama usemavyo. Matendo ya serikali kwa chadema yanakiinua sana hiki chama. Kutegemea nguvu za dola kuna mwisho wake. Tutalia muda si mrefu.
 
CHADEMA haitawahi kuleta maendeleo yoyote kwenye hii nchi. Hata hiyo KATIBA MPYA haitaletwa na CHADEMA Bali italetwa na CCM, naamini hivyo.

CHADEMA is a disorganized political party with no visionary leadership.
unajua sana kiingereza kuliko mwendazake
 
Mi naona inatosha sasa ifike mwisho tuseme basi, kwa maana Chadema ina slogani yake nzuri tu na kama ni wakweli nadhani saa imefika watumie sasa ile slogani ya KAMA NOMA NA IWE NOMA imeimbwa sana na si kutumia vinanda tena kama huku kanisani.
Rudisheni heshima ya chama chenu kwa kutoka maana ni kama mtu amewatia dole la jichoni makusudi alafu mnapotezea au mmezoea.
Dhihirisheni hata hili tu kuwa mnachosema ndicho mtachofanya mtapunguza aibu hii kubwa sana kwenu Kha!
Ninyi kila siku kulalamika tu jamani.
 
Huyu mwamba unamfananisha na faru John?. Hilo genge lenu la Ufipa lipo so disorganized, hakuna mwananchi mwenye akili timamu anayeweza kuwaamini magaidi.
Kama hayo ni ya kweli, si mngekuwa mmeishaacha kuhangaika nao, kila siku.
 
Back
Top Bottom