Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Wakuu Mwenyekiti Wa Kamati ya Uchaguzi ya TFF Wakili Kibamba amehamishwa Kituo Cha Kazi Kutoka Kuwa Mkurugenzi Wa Jiji la Mwanza Na Kupelekwa Kuwa Mkurugenzi Wa Halmashauri Ya Wilaya Nzega.
Kibamba ndio Mwenyekiti Wa Kamati ya Uchaguzi ya Tff ambe alifanya fitina na figisu Mpaka Karia akajipitisha Mwenyewe Kuwa Mgombea Pekee Wa Nafasi ya Rais Wa Tff.
Hii Ya Wakili Mwenzangu Msomi Kibamba ni Kama Demotion.
Unatoka Kuwa Mkurugenzi Wa Jiji Kama Mwanza Unapelekewa Kuwa DED Nzega.
Huwezi Kumlinganisha Mkurugenzi Wa Jiji La Mwanza Akawa Sawa Na Mkurugenzi Wa wilaya Ya Nzega, Hii Ya Kilomoni Kwenye Sheria Tunaita Silent Demotion [emoji91]
Kibamba ndio Mwenyekiti Wa Kamati ya Uchaguzi ya Tff ambe alifanya fitina na figisu Mpaka Karia akajipitisha Mwenyewe Kuwa Mgombea Pekee Wa Nafasi ya Rais Wa Tff.
Hii Ya Wakili Mwenzangu Msomi Kibamba ni Kama Demotion.
Unatoka Kuwa Mkurugenzi Wa Jiji Kama Mwanza Unapelekewa Kuwa DED Nzega.
Huwezi Kumlinganisha Mkurugenzi Wa Jiji La Mwanza Akawa Sawa Na Mkurugenzi Wa wilaya Ya Nzega, Hii Ya Kilomoni Kwenye Sheria Tunaita Silent Demotion [emoji91]