Pre GE2025 Mwenyekiti wa Kampeni ya Mama asemewe awaagiza Wanavyuo Kutumia Mitandao ya Kijamii Kueleza Mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita"

Pre GE2025 Mwenyekiti wa Kampeni ya Mama asemewe awaagiza Wanavyuo Kutumia Mitandao ya Kijamii Kueleza Mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Mwenyekiti wa Kampeni ya *Mama Asemewe, Ndugu Geofrey Kiliba, amewataka wanavyuo kote nchini kutumia mitandao ya kijamii na elimu zao kueleza mafanikio makubwa ya Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Soma Pia: Pre GE2025 - Kuelekea Uchaguzi 2025: Vijana tunafanya nini kuongeza ushiriki wenye tija na kuwapata viongozi bora wasioendekeza uchawa?

Ameeleza hayo katika Kikao cha Maandalizi ya Uzinduzi wa Kampeni hiyo kilichofanyika Jijini Arusha, Ndugu Kiliba amesisitiza umuhimu wa vijana haswa Wanavyuo kutumia maarifa yao kuelimisha jamii kuhusu maendeleo yaliyopatikana katika sekta mbalimbali kama miundombinu, afya, elimu, na ustawi wa jamii.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

 
Labda muwatafute mabibi wenzake na mababu kama kina wasira, vijana wanaojielewa hawawezi fanya ujinga huo, watu wanataka mabadiliko, acheni uchaguzi wa huru na wa Haki, hayo maendeleo amefanya kwa pesa zake au ni kodi zetu,
 
Labda muwatafute mabibi wenzake na mababu kama kina wasira, vijana wanaojielewa hawawezi fanya ujinga huo, watu wanataka mabadiliko, acheni uchaguzi wa huru na wa Haki, hayo maendeleo amefanya kwa pesa zake au ni kodi zetu,
Hapo unaweza kukuta na nyumbani kwao nyumba ni ya tope lakini anafukuzia uteuzi aibe mali za umma badala ya kutengeneza Tanzania iliyo bora
 
Hizi teuzi za Ma DC,DED,RAS zitatuletea misemo mingi sana mwaka huu,hii kazi TBC pekee wanaweza kuifanya sasa huyu nae kaibuka na lake,bado Mangere nae atakuja na lake,bado Wema Sepetu tutasema tu mwaka huu
 
Mwenyekiti wa Kampeni ya *Mama Asemewe, Ndugu Geofrey Kiliba, amewataka wanavyuo kote nchini kutumia mitandao ya kijamii na elimu zao kueleza mafanikio makubwa ya Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Soma Pia: Pre GE2025 - Kuelekea Uchaguzi 2025: Vijana tunafanya nini kuongeza ushiriki wenye tija na kuwapata viongozi bora wasioendekeza uchawa?

Ameeleza hayo katika Kikao cha Maandalizi ya Uzinduzi wa Kampeni hiyo kilichofanyika Jijini Arusha, Ndugu Kiliba amesisitiza umuhimu wa vijana haswa Wanavyuo kutumia maarifa yao kuelimisha jamii kuhusu maendeleo yaliyopatikana katika sekta mbalimbali kama miundombinu, afya, elimu, na ustawi wa jamii.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


..namna nzuri wa wanavyuo kumsemea Mama Abduli ni kumhimiza awahakikishie nafasi za ajira mara watakapohitimu.
 
Mwenyekiti wa Kampeni ya *Mama Asemewe, Ndugu Geofrey Kiliba, amewataka wanavyuo kote nchini kutumia mitandao ya kijamii na elimu zao kueleza mafanikio makubwa ya Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Soma Pia: Pre GE2025 - Kuelekea Uchaguzi 2025: Vijana tunafanya nini kuongeza ushiriki wenye tija na kuwapata viongozi bora wasioendekeza uchawa?

Ameeleza hayo katika Kikao cha Maandalizi ya Uzinduzi wa Kampeni hiyo kilichofanyika Jijini Arusha, Ndugu Kiliba amesisitiza umuhimu wa vijana haswa Wanavyuo kutumia maarifa yao kuelimisha jamii kuhusu maendeleo yaliyopatikana katika sekta mbalimbali kama miundombinu, afya, elimu, na ustawi wa jamii.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Madalali wa raslimali zetu mmepata ajira! mteteeni mwenzenu lakini hachomoki! Uje uuze nchi yetu utuletee mabasi na pikipiki ni ukichaaa!! Samia rudisha MBUGA zetu! Samia rudisha BANDARI zetu! Samia rudisha Madini yetu! Samia Rudisha airport zetu! Huna aibu huwezi kwenda kuhonga mali zetu hovyo hovyo!!
 
Back
Top Bottom