Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Wawili hao ni miongoni mwa Wajumbe wa Kamati Kuu ya Chadema waliokutana kwenye kikao Muhimu kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chama hicho Mikocheni, Dar es Salaam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kitu hukijuiWanachadema tunamuomba lissu ajifyatue akili aionje sumu Kwa kulamba, halafu wenje akamatie kijiti kwenye umakamu. Mbowe miaka 30 inatosha mpishe lissu.
Kipi hicho kamandaKuna kitu hukijui
Usiondoke jfKipi hicho kamanda
Hiyo hamu yako kunywa maji ulale. Si mlisema Lisu haendi ofisini kasusa?Wanachadema tunamuomba lissu ajifyatue akili aionje sumu Kwa kulamba, halafu wenje akamatie kijiti kwenye umakamu. Mbowe miaka 30 inatosha mpishe lissu.
KabisaPeople's Power ✌️✌️✌️
Ni mpango wa Familia ya MboweChadema ni mpango wa mungu
Mithali 13;23Katika kila CDM wawili basi mmoja kapitiwa na Abdul.
AmenMungu ibariki Chadema
Siyo CCM ni mpango wa Mwigu, Bashir, na mama Abuu?Ni mpango wa Familia ya Mbowe