Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kuna kitu hukijuiWanachadema tunamuomba lissu ajifyatue akili aionje sumu Kwa kulamba, halafu wenje akamatie kijiti kwenye umakamu. Mbowe miaka 30 inatosha mpishe lissu.
Kipi hicho kamandaKuna kitu hukijui
Usiondoke jfKipi hicho kamanda
Hiyo hamu yako kunywa maji ulale. Si mlisema Lisu haendi ofisini kasusa?Wanachadema tunamuomba lissu ajifyatue akili aionje sumu Kwa kulamba, halafu wenje akamatie kijiti kwenye umakamu. Mbowe miaka 30 inatosha mpishe lissu.
KabisaPeople's Power ✌️✌️✌️
Ni mpango wa Familia ya MboweChadema ni mpango wa mungu
Mithali 13;23Katika kila CDM wawili basi mmoja kapitiwa na Abdul.
AmenMungu ibariki Chadema
Siyo CCM ni mpango wa Mwigu, Bashir, na mama Abuu?Ni mpango wa Familia ya Mbowe