Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huyo ni Mkt wa Kanda na macheni kinao shingoniπ€£π€£π€£πππ
Ufipa st Wahuni Wengi Sana
Kuna mhuni huko simiyu kampasua binti wa watu rindaChama cha wahuni na watukanaji mitandaoni.
Kuletwa kwa thread hii ni kuidhalilisha JF, kumdhalilisha mleta thread pamoja na watumiaji wote.Mwenyekiti huyo, ambaye pia ni Mfanyabiashara na Mwekezaji wa Kimataifa mwenye mafanikio, amekutana na Maranja Masese jijini Dar es Salaam na kufanya naye mazungumzo.
Bado haijafahamika hasa kilichozungumzwa , Japo tetesi zinadokeza kwamba Mazungumzo yao yalihusu hali ya kisiasa ya Tanzania, ikiwemo teuzi za Marehemu.
View attachment 3018198View attachment 3018199
Mbona wale wengine wanawafumua wenzao marindaChama cha Masela na watukanaji...Eti mazungumzo mazito ..
Yaani mfanyabiashara wa kimataifa wakati hoteli anayotegemea kumpatia kipato haina vyumba vya kula kumi na tano,maajabu nchi hayawezi kuisha aiseeπββοΈπββοΈπββοΈMwenyekiti huyo, ambaye pia ni Mfanyabiashara na Mwekezaji wa Kimataifa mwenye mafanikio, amekutana na Maranja Masese jijini Dar es Salaam na kufanya naye mazungumzo.
Bado haijafahamika hasa kilichozungumzwa , Japo tetesi zinadokeza kwamba Mazungumzo yao yalihusu hali ya kisiasa ya Tanzania, ikiwemo teuzi za Marehemu.
View attachment 3018198View attachment 3018199
Hivi kweli kiumbe kama Sugu anawezaje kuwa na mazungumzo mazito na mjinga kama masese ambae anakesha mitandaoni kuvurumisha matusi tu ?Chama cha Masela na watukanaji...Eti mazungumzo mazito ..
Lema ni kanya boya ,haiwezekana hata siku moja atofautiana na binamu yake.View attachment 3018231
Kiboko ya team mbowe
Ikiwa ni hivyo kinachokuliza ni nini?Kuletwa kwa thread hii ni kuidhalilisha JF, kumdhalilisha mleta thread pamoja na watumiaji wote.
Ova
Mtaropoka kila uchawi, aliyesema Chadema kuna ugomvi kawaingiza chaka kibwege sana!Lema ni kanya boya ,haiwezekana hata siku moja atofautiana na binamu yake.
Hujui kitu, Shut up!Hivi kweli kiumbe kama Sugu anawezaje kuwa na mazungumzo mazito na mjinga kama masese ambae anakesha mitandaoni kuvurumisha matusi tu ?
Wewe ungekuwa unajua chochote ungekuwa unakesha mitandaoni kusifiwa wanaume wenzako ?unatia aibu aisee,hivi kweli wewe unaitwa baba flani kweli?Hujui kitu, Shut up!
Wale wanaolawiti na kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja sio wahuni?πππ
Ufipa st Wahuni Wengi Sana
Koma kutuletea habari za hawa Wavuta BangeMwenyekiti huyo, ambaye pia ni Mfanyabiashara na Mwekezaji wa Kimataifa mwenye mafanikio, amekutana na Maranja Masese jijini Dar es Salaam na kufanya naye mazungumzo.
Bado haijafahamika hasa kilichozungumzwa , Japo tetesi zinadokeza kwamba Mazungumzo yao yalihusu hali ya kisiasa ya Tanzania, ikiwemo teuzi za Marehemu.
View attachment 3018198View attachment 3018199