Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa Joseph Mbilinyi akutana na Maranja Masese na kufanya naye Mazungumzo Mazito

Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa Joseph Mbilinyi akutana na Maranja Masese na kufanya naye Mazungumzo Mazito

Mwenyekiti huyo, ambaye pia ni Mfanyabiashara na Mwekezaji wa Kimataifa mwenye mafanikio, amekutana na Maranja Masese jijini Dar es Salaam na kufanya naye mazungumzo.

Bado haijafahamika hasa kilichozungumzwa , Japo tetesi zinadokeza kwamba Mazungumzo yao yalihusu hali ya kisiasa ya Tanzania, ikiwemo teuzi za Marehemu.

View attachment 3018198View attachment 3018199


Maranja Masese ni chawa aliyekomaa hadi mvi zinamuota bado chawa tu na atakufa bado chawa tu..!!
 
Wewe ungekuwa unajua chochote ungekuwa unakesha mitandaoni kusifiwa wanaume wenzako ?unatia aibu aisee,hivi kweli wewe unaitwa baba flani kweli?
Usilie Mambo bado!
 
Labda kama huna akili, angalia umri wangu hapa Jf halafu mwangalie huyo mjinga mwenzio halafu fananisha na hayo matusi ya nguoni unayonitukana utapata majibu
Sikutukani mkuu, ukweli siku zote unaponya. Nyie wote mpo sawa katika sekta hii, ni kusifu hata visivyofaa, ni kuwasujudia hao viongozi wenu mda wote.

Hivi nikuulize, pamoja na kuwepo humu mda mrefu, huwa unaconcentrate kwenye jambo lolote la kisiasa na kutoka na majibu huru?
 
Sikutukani mkuu, ukweli siku zote unaponya. Nyie wote mpo sawa katika sekta hii, ni kusifu hata visivyofaa, ni kuwasujudia hao viongozi wenu mda wote.

Hivi nikuulize, pamoja na kuwepo humu mda mrefu, huwa unaconcentrate kwenye jambo lolote la kisiasa na kutoka na majibu huru?
Hivi kuna tajiri anayeweza kusujudia? unaufahamu uwezo wangu kiuchumi? uliwahi kuona naweka namba ya simu humu kuomba kulipiwa pango? Ni vema kuwa na adabu kwa waliokuzidi kila kitu kabla hujadhalilika
 
😂 😂 😂
Yaani wanaotoa maoni (negative opinions) kuhusu huu uzi. Hawafikii hata robo ya uwezo wa Martin Maranja Masese
 
Hivi kuna tajiri anayeweza kusujudia? unaufahamu uwezo wangu kiuchumi? uliwahi kuona naweka namba ya simu humu kuomba kulipiwa pango? Ni vema kuwa na adabu kwa waliokuzidi kila kitu kabla hujadhalilika
Mkuu,
Ukwasi wako nani anataka kuujua. Tunaangalia content ya unacholeta, utajiri wako baki nao huko.
 
😂 😂 😂
Yaani wanaotoa maoni (negative opinions) kuhusu huu uzi. Hawafikii hata robo ya uwezo wa Martin Maranja Masese
Kwakuwa ww n mke wa hao wanaotoa negative ndio mana unawajua
 
Back
Top Bottom