Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa Joseph Mbilinyi aongoza Kikao cha Mashauriano Mkoa wa Iringa

Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa Joseph Mbilinyi aongoza Kikao cha Mashauriano Mkoa wa Iringa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, leo 12/07/2024, Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa ameongoza Vikao vya Mashauriano vya Mkoa wa Iringa, ambapo ameshirikiana na Mwenyekiti wa Mkoa huo Bilionea William Mungai.

Vikao hivi ni vya kawaida vyenye lengo la kujadili mipango ya chama na kuweka mikakati thabiti kuelekea uchaguzi unaokuja.

Ndio maana ni lazima sana kuweka viongozi wenye nguvu na Afya njema ili kuhimili ratiba ngumu ya vikao na mikutano ya hadhara, huyu Sugu wiki iliyopita alikuwa Kyela, Juzi alikuwa Mbeya Mjini, Jana alirudi Tukuyu lakini leo yuko Iringa, huyu ni aina ya viongozi tunaowataka, ndio walivyokuwa wanafanya akina Nyerere enzi za kudai Uhuru .

Zaidi pata picha kidogo

Screenshot_2024-07-12-18-14-12-1.png
Screenshot_2024-07-12-18-14-21-1.png
Screenshot_2024-07-12-18-14-02-1.png
Screenshot_2024-07-12-18-13-53-1.png
Screenshot_2024-07-12-18-13-41-1.png
 
Ndio maana ni lazima sana kuweka viongozi wenye nguvu na Afya njema ili kuhimili ratiba ngumu ya vikao na mikutano ya hadhara, huyu Sugu wiki iliyopita alikuwa Kyela, Juzi alikuwa Mbeya Mjini, Jana alirudi Tukuyu lakini leo yuko Iringa, huyu ni aina ya viongozi tunaowataka, ndio walivyokuwa wanafanya akina Nyerere enzi za kudai Uhuru .
Kwahy hiyo ndio kigezo cha kuwa na afya njema? Kwan huko kote anaenda kwa miguu au na usafiri?

Anyway, inapendeza.
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, leo 12/07/2024, Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa ameongoza Vikao vya Mashauriano vya Mkoa wa Iringa, ambapo ameshirikiana na Mwenyekiti wa Mkoa huo Bilionea William Mungai.

Vikao hivi ni vya kawaida vyenye lengo la kujadili mipango ya chama na kuweka mikakati thabiti kuelekea uchaguzi unaokuja.

Ndio maana ni lazima sana kuweka viongozi wenye nguvu na Afya njema ili kuhimili ratiba ngumu ya vikao na mikutano ya hadhara, huyu Sugu wiki iliyopita alikuwa Kyela, Juzi alikuwa Mbeya Mjini, Jana alirudi Tukuyu lakini leo yuko Iringa, huyu ni aina ya viongozi tunaowataka, ndio walivyokuwa wanafanya akina Nyerere enzi za kudai Uhuru .

Zaidi pata picha kidogo

View attachment 3040512View attachment 3040513View attachment 3040515View attachment 3040517View attachment 3040518
Naona umeamua kumpaisha sugu na kumtenga lissu itafamika tu wenyeviti wa kanda nyingine wanashangaa wao hawana promo!
 
Naona umeamua kumpaisha sugu na kumtenga lissu itafamika tu wenyeviti wa kanda nyingine wanashangaa wao hawana promo!
Kuna Kanda 6 bado hazijafanya Uchaguzi, halafu mimi natokea Kyela ambayo imo Kanda ya Nyasa.

Hata hivyo nadhani mimi ndiye ripota wa habari zote za Chadema tena bila Ubaguzi labda kuliko mtu yeyote mwingine hapa JF, kwa hiyo kuniweka kwenye Ubaguzi ni kunisingizia tu uongo kwa sababu unazozijua mwenyewe
 
Kuna Kanda 6 bado hazijafanya Uchaguzi, halafu mimi natokea Kyela ambayo imo Kanda ya Nyasa.

Hata hivyo nadhani mimi ndiye ripota wa habari zote za Chadema tena bila Ubaguzi labda kuliko mtu yeyote mwingine hapa JF, kwa hiyo kuniweka kwenye Ubaguzi ni kunisingizia tu uongo kwa sababu unazozijua mwenyewe
Kwa hili nakubali usemalo. Cdm wanapaswa kukiri mchango wako hadharani, maana hata msemaji rasmi wa cdm ni kama amesinzia.🙏
 
Naona namna wajumbe walivyojikatia tamaa na kupoteza nuru na matumaini katika nyuso zao. Wapo tu kimwili hapo lakini akili zao zote zipo CCM.
 
Kuna Kanda 6 bado hazijafanya Uchaguzi, halafu mimi natokea Kyela ambayo imo Kanda ya Nyasa.

Hata hivyo nadhani mimi ndiye ripota wa habari zote za Chadema tena bila Ubaguzi labda kuliko mtu yeyote mwingine hapa JF, kwa hiyo kuniweka kwenye Ubaguzi ni kunisingizia tu uongo kwa sababu unazozijua mwenyewe
Mimi nimekupa ujumbe kama nilivyopewa!
 
Back
Top Bottom