Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kuing"oa ccm MadarakaniAgenda inayoendwa zungumziwa ni ipi mkuu ..
AmenMungu ibariki Chadema.
Wee maa Abdul anaupiga mwingi labda kuanzia 2030Kuing"oa ccm Madarakani
HayaJuzi alikuwa nyumbani kwa Balozi 🐼
Nadhani atastaafu keshoHuyu bado tu hajastaafu siasa?
Kweli chadema mufilsi!Hatutaki lawama zozote kwamba hatukukuambia Mapema.
Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba, Kiongozi wa Juu zaidi wa Kanda ya Nyasa anapeleka cheo chake kipya nyumbani kwao Mbeya Mjini, kutakuwa na Mkutano Mkubwa wa hadhara unaotarajiwa kuvunja rekodi yake yeye mwenyewe ya Mikutano ya hadhara.
Ikumbukwe kwamba Rekodi ya Mikutano ya Hadhara ya Sugu Mbeya Mjini haijawahi kuvunjwa huku akifuatiwa kwa mbali na Edward Lowassa.
View attachment 3037864
Muulize Sugu ndiye mzungumzajiAgenda inayoendwa zungumziwa ni ipi mkuu ..
Naona na nyie CDM mnaiga ujinga wa CCM kuitumia hiyo stendi ya Kabwe kwa matumizi yenu ya kisiasa. Hili linaleta usumbufu kwa wananchi hasa wanaotumia hiyo stendi na biashara zingine hapo. Kwa nini msitumie viwanja vya pale CCM (ruanda nzovwe) ambavyo ni pakubwa na sehemu sahihi.Amen
Tayari majukwaa yashafungwaNaona na nyie CDM mnaiga ujinga wa CCM kuitumia hiyo stendi ya Kabwe kwa matumizi yenu ya kisiasa. Hili linaleta usumbufu kwa wananchi hasa wanaotumia hiyo stendi na biashara zingine hapo. Kwa nini msitumie viwanja vya pale CCM (ruanda nzovwe) ambavyo ni pakubwa na sehemu sahihi.
Inahusika nini na mkutano wake ?Juzi alikuwa nyumbani kwa Balozi 🐼
Hujawahi kuwa na akili.Kweli chadema mufilsi!
Ufadhili tuInahusika nini na mkutano wake ?
Hata wewe unaweza kwenda hujazuiwa.Kama Serikali yako inafadhiliwa na hao hao kosa nini Chadema kufadhiliwa?Ufadhili tu
Wapi niliposema ni kosa Chadema kufadhiliwa? 🐼Hata wewe unaweza kwenda hujazuiwa.Kama Serikali yako inafadhiliwa na hao hao kosa nini Chadema kufadhiliwa?