CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Ume mind Sugu kwenda ubalozi hadi umekuja kuipost hapa, wacha hizo dogo.Wapi niliposema ni kosa Chadema kufadhiliwa? 🐼
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ume mind Sugu kwenda ubalozi hadi umekuja kuipost hapa, wacha hizo dogo.Wapi niliposema ni kosa Chadema kufadhiliwa? 🐼
Kwani Balozi hajawahi kuja Mbeya?Ume mind Sugu kwenda ubalozi hadi umekuja kuipost hapa, wacha hizo dogo.
Kwa hiyo unaumia saana, wacha uchawi wa kinyalu wewe dogoKwani Balozi hajawahi kuja Mbeya?
Acha hizo bwashee 😄
sugu moto chiniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii suguuuu . wanakuita nani sugu nani sugu..... hata mtoto wake demu wangu ananiita anko suguuuu anhaaaa. twende kaziiiiiiHatutaki lawama zozote kwamba hatukukuambia Mapema.
Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba, Kiongozi wa Juu zaidi wa Kanda ya Nyasa anapeleka cheo chake kipya nyumbani kwao Mbeya Mjini, kutakuwa na Mkutano Mkubwa wa hadhara unaotarajiwa kuvunja rekodi yake yeye mwenyewe ya Mikutano ya hadhara.
Ikumbukwe kwamba Rekodi ya Mikutano ya Hadhara ya Sugu Mbeya Mjini haijawahi kuvunjwa huku akifuatiwa kwa mbali na Edward Lowassa.
View attachment 3037864
Hii huwa inaleta kero kubwa isiyo na ulazima kwa wananchi. Sugu si mtu wa kwenda kubanana pale.Tayari majukwaa yashafungwa
Mungu Ibariki CHADEMA❤❤❤Mungu ibariki Chadema.