404 Pages
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,703
- 2,963
NotedYani Maskini sisi ndio wakutolewa DEMO
✍️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NotedYani Maskini sisi ndio wakutolewa DEMO
Na anaweza akashinda rufaa pia huo ndio utamu wa sheriaM/kiti ye apambane tu,sheria imetumika na ana haki ya kukata rufaa pia nadhani.
Rufaa una hela Hadi ushinde?Na anaweza akashinda rufaa pia huo ndio utamu wa sheria
✍️
Kwahiyo ni sahihi wao kwenda kuhujumu miundombinu ya TPDC kwasababu wao ni maskini? Au kwasababu walioiba mabilioni hawakamatwi? Kama unajijua ni maskini jiepushe na mambo ya kihalifu kwasababu utafungwa tu hakuna namna. Wangekuwa na hela wangeweka mawakili nguli labda wangeshinda kesi au kuambiwa walipe faini ya Tsh 50,000. Kisheria hao wana makosa. Kukata rufaa ni haki yao.Utii wa sheria ni Kwa watu maskini tuu au?
Wewe uende kuhujumu miundombinu ya TPDC kisha uilaumu CCM? Acha wehu.Tunapowaambia Fisiemu ni tatizo muwe mnaelewa.
Sijalaumu jamaa kufungwa, nalaumu huyu kufungwa na wale wengine kuachwa. Nalaumu double standards za fisiemuWewe uende kuhujumi miundombinu ya TPDC kisha uilaumu CCM? Acha wehu.
Sio sahihi ila adhabu iendane na kosa ,huo ni uoneziKwahiyo ni sahihi wao kwenda kuhujumu miundombinu ya TPDC kwasababu wao ni maskini? Au kwasababu walioiba mabilioni hawakamatwi? Kama unajijua ni maskini jiepushe na mambo ya kihalifu kwasababu utafungwa tu hakuna namna. Wangekuwa na hela wangeweka mawakili nguli labda wangeshinda kesi au kuambiwa walipe faini ya Tsh 50,000. Kisheria hao wana makosa. Kukata rufaa ni haki yao.
Hakuna double standard hapo. Kila mmoja anavuna alichokipandaSijalaumu jamaa kufungwa, nalaumu huyu kufungwa na wale wengine kuachwa. Nalaumu double standards za fisiemu
China kuharibu miundombinu ni adhabu ya kifo. Madhara yanayoweza kutokea ni makubwa sana kwa watu wa aina hiyoWezi wa mabilioni na Mafisadi wanapeta mtaani ila Mtu mdogo kama Mwenyekiti wa Kijiji anafungwa miaka 20 eti Kwa kutumia madaraka vibaya Kuiba Mabomba,hii sio sawa.
My Take
Muogopeni Mungu nyie Mahakimu na Watawala,hukumu ya Haki inakuja.
Mwenyekiti wa Kijiji afungwa Miaka 20 Jela kwa kuharibu Miundombinu ya Gesi
Hukumu imetolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Lindi dhidi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Kijiji cha Mahumbika, Hamis Bandari baada ya kumkuta na hatia ya Matumizi Mabaya ya Madaraka. Hamisi na mwenzake Juma Kapilima, mkazi wa Liwale, walitenda kosa la kuharibu na kuuza miundombinu ya Kingo...www.jamiiforums.com
kwa elimu yako ya sheria unadhani walistahili kupewa adhabu gani?Sio sahihi ila adhabu iendane na kosa ,huo ni uonezi
Najua huna akili ya kuona double standards ndo maana upo fisiemuHakuna double standard hapo. Kila mmoja anavuna alichokipanda
Unajua madhara ambayo yanaweza kutokea kwa kuharibu bomba la gesi?Najua huna akili ya kuona double standards ndo maana upo fisiemu
Nakazia...hao wengine ni wengi zaidi wakiachwa bila funzo madhara yanaweza kuwa makubwa zaidi!Hakimu akitoa hukumu anasemaga iwe Funzo na kwa wengine..
Unaona, bado unadhihilisha kauli yangu kuwa upo mweupe upstairs. Nimekwambia hapo juu simtetei aliyeiba hayo mabomba ya gesi, rudia kusoma tenaUnajua madhara ambayo yanaweza kutokea kwa kuharibu bomba la gesi?
Ndugu naona unanishambulia binafsi badala ya kutetea hoja. Nikikuita mpumbavu nitakuwa nimekuvunjia heshima?Unaona, bado unadhihilisha kauli yangu kuwa upo mweupe upstairs. Nimekwambia hapo juu simtetei aliyeiba hayo mabomba ya gesi, rudia kusoma tena
Hoja nshaweka mezani sasa tatizo liko kwako huwezi kutambua. Upstairs kama nilivyosema mwanzo.Ndugu naona unanishambulia binafsi badala ya kutetea hoja. Nikikuita mpumbavu nitakuwa nimekuvunjia heshima?