zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Ndio hivyo jamaa anakwepa kesi kwa nguvu zote ila watu wanataka sheria ichukue mkondo hata km ni Naibu Waziri apande kizimbani, Hamza KanuniIlibidi akashitakiwe kuhusika na mauaji,hujui hilo?