Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
-
- #41
Vmalaya sanaMABINTI SOMEMI ACHE UMALAYA.
HAO WABUNGE WAMEACHA WAKE ZAO NA FAMILIA ZAO.
SOMENI NA NYIE MUWE MAWAZORI.
SIO UMALAYA
daah!! kwa Hali hii Kama taifa bado tunasafari ndefu,umri sio kigezo Cha kuwa na intellectUna umri Gani?
Ile comment yako ilinifanya nicheke, JF ina utoto mwingidaah!! kwa Hali hii Kama taifa bado tunasafari ndefu,umri sio kigezo Cha kuwa na intellect
Kivipi wakati ni ajali kama ajali zingineIlibidi akashitakiwe kuhusika na mauaji,hujui hilo?
Atakuwa wa Chadema!Itakua huyo Mwenyekiti hajapata amri kutoka juu walimsahau hataongea tena.
Washayamaliza ila sisi ndo tunakomaa. We umesikia wazazi wakiongea loloteAna wazazi Yule Mpwa
😃😃Watakua wana-negotiate Dau.
Kesho nayo siku, tupumzikeDuuuhh