Magezi bugaga
JF-Expert Member
- Jul 7, 2021
- 1,181
- 1,594
Mbona unamtukana mjomba kiongoziMpina ni mzushi na ni kipenz cha uongo ni muhimu sana kila neno analotamka likaangaliwa kwa uzito mkubwa maana hakawii kupotosha umma.
halafu mbona kawaleta wazee wachache tu? wazee wengine akina Kimtigiti na Burekizambere mbona hawapo?🐒
Hawa Sasa ndio machifu sio kama wale wengine wahuniChief Kisendi Josephat Nkingwa ambaye ni Mwenyekiti wa Machifu wa Usukumani, ameyasema hayo wakati akiwa katika viunga vya Bunge ambapo aliambatana na Machifu wengine, pamoja na Mapadri kutembelea Bunge na kumuunga mkono Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina baada ya kumaliza kutumikia adhabu ya kutoshiriki vikao 15 vya Bunge.
"Tumekuja kutoa taarifa Bungeni kwamba Mbunge wetu hayuko peke yake, sisi tunamuunga mkono. hata alipozungumza Bungeni kimetafutwa kipengele kidogo tu katamka neno 'Kodi' badala ya 'Tozo' basi limeshupaliwa mpaka limeonekana ni kama mtu anaangaliwa sasa kama adui.”
“Badala ya kuonekana kama ni mmoja wa wabunge ambao wanaisimamia Serikali. na Bunge kama litazembea, litakuwa linaogopa ogopa linaenda kichwa chawa hivyo, litakosa meno, litakuwa halina maana ya kwamba ni Bunge la kushauri na kuisimamia Serikali, utaishaurije Serikali kama unaisifia tangu mwanzo mpaka mwisho, kana kwamba unaongea kuhusu jopo la malaika. Hapana!”
“Ni lazima ueleze hapa pazuri tulifanikiwa hapa hatukufanikiwa, lakini ile kusifu kila kitu, kila kitu wakati kuna matatizo mengine chungu nzima mnayafunika. Kwa hoja za haraka haraka si sahihi. Bunge likikaa hivyo halina maana ya kuwepo.” - Chief Kisendi Josephat Nkingwa.
View: https://x.com/Jambotv_/status/1855868759484821648
naeleza ukweli tu mengineyo sina uzoefu gentleman 🐒Mbona unamtukana mjomba kiongozi
Ndani ya CCM hakuna vita. Ni uhuru wa kutoa maoni.Hii vita ya ndani ya chama inaonekana inazidi kukomaa kwa kasi sana
Kiama 2025.Chief Kisendi Josephat Nkingwa ambaye ni Mwenyekiti wa Machifu wa Usukumani, ameyasema hayo wakati akiwa katika viunga vya Bunge ambapo aliambatana na Machifu wengine, pamoja na Mapadri kutembelea Bunge na kumuunga mkono Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina baada ya kumaliza kutumikia adhabu ya kutoshiriki vikao 15 vya Bunge.
"Tumekuja kutoa taarifa Bungeni kwamba Mbunge wetu hayuko peke yake, sisi tunamuunga mkono. hata alipozungumza Bungeni kimetafutwa kipengele kidogo tu katamka neno 'Kodi' badala ya 'Tozo' basi limeshupaliwa mpaka limeonekana ni kama mtu anaangaliwa sasa kama adui.”
“Badala ya kuonekana kama ni mmoja wa wabunge ambao wanaisimamia Serikali. na Bunge kama litazembea, litakuwa linaogopa ogopa linaenda kichwa chawa hivyo, litakosa meno, litakuwa halina maana ya kwamba ni Bunge la kushauri na kuisimamia Serikali, utaishaurije Serikali kama unaisifia tangu mwanzo mpaka mwisho, kana kwamba unaongea kuhusu jopo la malaika. Hapana!”
“Ni lazima ueleze hapa pazuri tulifanikiwa hapa hatukufanikiwa, lakini ile kusifu kila kitu, kila kitu wakati kuna matatizo mengine chungu nzima mnayafunika. Kwa hoja za haraka haraka si sahihi. Bunge likikaa hivyo halina maana ya kuwepo.” - Chief Kisendi Josephat Nkingwa.
hadi wale wazee muhimu wameanza kuogopa uzushi wa mungwana dah 🐒Hao walete wewe mkuu…
nimewataja wazee wawili tu gentleman ambao wamegoma kua kwenye kundi la uzushi na uongo, sio Tanganyika 🐒Mbona hapo mjengoni Watangayika wote zaidi ya M60 hawapo? Hujui maana ya uwakilishi?
nimewataja wazee wawili tu gentleman ambao wamekataa kua sehemu ya uzushi 🐒Ulitaka machifu wote wajazane Dodoma.
Chief Kisendi Josephat Nkingwa ambaye ni Mwenyekiti wa Machifu wa Usukumani, ameyasema hayo wakati akiwa katika viunga vya Bunge ambapo aliambatana na Machifu wengine, pamoja na Mapadri kutembelea Bunge na kumuunga mkono Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina baada ya kumaliza kutumikia adhabu ya kutoshiriki vikao 15 vya Bunge.
"Tumekuja kutoa taarifa Bungeni kwamba Mbunge wetu hayuko peke yake, sisi tunamuunga mkono. hata alipozungumza Bungeni kimetafutwa kipengele kidogo tu katamka neno 'Kodi' badala ya 'Tozo' basi limeshupaliwa mpaka limeonekana ni kama mtu anaangaliwa sasa kama adui.”
“Badala ya kuonekana kama ni mmoja wa wabunge ambao wanaisimamia Serikali. na Bunge kama litazembea, litakuwa linaogopa ogopa linaenda kichwa chawa hivyo, litakosa meno, litakuwa halina maana ya kwamba ni Bunge la kushauri na kuisimamia Serikali, utaishaurije Serikali kama unaisifia tangu mwanzo mpaka mwisho, kana kwamba unaongea kuhusu jopo la malaika. Hapana!”
“Ni lazima ueleze hapa pazuri tulifanikiwa hapa hatukufanikiwa, lakini ile kusifu kila kitu, kila kitu wakati kuna matatizo mengine chungu nzima mnayafunika. Kwa hoja za haraka haraka si sahihi. Bunge likikaa hivyo halina maana ya kuwepo.” - Chief Kisendi Josephat Nkingwa.
Naendelea uzuri shekh.Mkuu unaendeleaje? Umetoka hospital?
Ongea kwa staha hujui hao wazee wanaweza kukugeuza kunguru wa Zanzibar.Haya tumewasikia, sasa rudini mkawahi kuchunga ng'ombe zenu zisile mashamba ya watu, maana Bashe kishamwaga matrekta 400 huko.
Wamesahau kuwa CHIEF Mkuu ni HANGAYA ..... Walimpa wenyewe hicho cheo!!
Wako vizuri sanaNimemsikiliza ana hoja kuliko hata maprofesa wetu
Na ikomae kwa nguvu aisee maana kuna watu wanajiona malaika hawataki kuguswa. Mpina oyeeeeeeee.Hii vita ya ndani ya chama inaonekana inazidi kukomaa kwa kasi sana
Kazi nzuri hii pole pole mambo yatakuwa matamu.Chief Kisendi Josephat Nkingwa ambaye ni Mwenyekiti wa Machifu wa Usukumani, ameyasema hayo wakati akiwa katika viunga vya Bunge ambapo aliambatana na Machifu wengine, pamoja na Mapadri kutembelea Bunge na kumuunga mkono Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina baada ya kumaliza kutumikia adhabu ya kutoshiriki vikao 15 vya Bunge.
"Tumekuja kutoa taarifa Bungeni kwamba Mbunge wetu hayuko peke yake, sisi tunamuunga mkono. hata alipozungumza Bungeni kimetafutwa kipengele kidogo tu katamka neno 'Kodi' badala ya 'Tozo' basi limeshupaliwa mpaka limeonekana ni kama mtu anaangaliwa sasa kama adui.”
“Badala ya kuonekana kama ni mmoja wa wabunge ambao wanaisimamia Serikali. na Bunge kama litazembea, litakuwa linaogopa ogopa linaenda kichwa chawa hivyo, litakosa meno, litakuwa halina maana ya kwamba ni Bunge la kushauri na kuisimamia Serikali, utaishaurije Serikali kama unaisifia tangu mwanzo mpaka mwisho, kana kwamba unaongea kuhusu jopo la malaika. Hapana!”
“Ni lazima ueleze hapa pazuri tulifanikiwa hapa hatukufanikiwa, lakini ile kusifu kila kitu, kila kitu wakati kuna matatizo mengine chungu nzima mnayafunika. Kwa hoja za haraka haraka si sahihi. Bunge likikaa hivyo halina maana ya kuwepo.” - Chief Kisendi Josephat Nkingwa.
Mwenyewe nimeshangaa sn kumbe kuna watu wana akili wamechoshwa na huu mfumo wa kifisadi, Mpina alifaa awe PM na siyo haya mafisadiNimemsikiliza ana hoja kuliko hata maprofesa wetu
Ukombozi umekaribia asee watu wameanza kuamka na siyo kupelekwa tuNa ikomae kwa nguvu aisee maana kuna watu wanajiona malaika hawataki kuguswa. Mpina oyeeeeeeee.
Tulipe li Makonda liwanyoroshe!Tutafute ngosha mwingine tumpe.miatano.tena hawa wapwani ni.michosho tupu.wezi wakubwa