Mwenyekiti wa Machifu: Tumekuja kutoa taarifa Bungeni kwamba Mbunge wetu Mpina hayuko peke yake

Mwenyekiti wa Machifu: Tumekuja kutoa taarifa Bungeni kwamba Mbunge wetu Mpina hayuko peke yake

Nakuunga mkono.
Mmoja alisema kinyesi cha mifugo (ng'ombe kinaua samaki wa mto Mara).
Mwingine akasema aliokotwa jalalani pale UDSM.
Huyu anayetajwa kuwa mtaalamu wa uchumi aliwahi kustaafu ukuu wa chama chake asubuhi,jioni akarejea tena ofisini kwa uvamizi wa mitutu ya polisi akavunja milango na kukalia tena kiti kama mkuu wa chama tena.
Ni nani huyu!
Inawezekana hiyo cenario ikawa ni ya muda mrefu nishasahau?
 
Ni nani huyu!
Inawezekana hiyo cenario ikawa ni ya muda mrefu nishasahau?
Kuna pr alikuwa mwenyekiti wa kamati uliyotumwa kutafiti ikiwa taka zitk
Ni nani huyu!
Inawezekana hiyo cenario ikawa ni ya muda mrefu nishasahau?
Kuna aliyekuwa mwenyekiti wa kamati iliyotumwaga kwenda kufuatilia ikiwa maji taka yatokayo mgodini kule NYAMONGO ndio chanzo cha vifo vya samaki wa mto MARA jina lake silikumbuki vizuri lkn ni PR na yeye.
Aliyeokotwa jalalani pale UDSM ni KABUDI.
Wa mwisho ni LIPUMBA.
 
Back
Top Bottom