Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi James Mbatia awapa pole CCM kwa kuondokewa na kada wao mtiifu Hamza

Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi James Mbatia awapa pole CCM kwa kuondokewa na kada wao mtiifu Hamza

Lkn si kasema ukweli? Viongozi waongo wako CCM.

Kwahiyo unataka kuniambia hawa waongo wote hapa wako CCM?😃😃😃😃

CHADEMA 2005 - 2014
20210724_195112.jpg
images (9).jpeg
 
Hakuna story mpya zingine.
Eti hakuna story mpya nyingine🙄🙄🙄

Mmekalia maslahi binafsi bila hata aibu!

Mnataka kufunika kombe tuu ndio maana hii nchi itachechelewa sana kwenye maendeleo ya kisiasa
 
Breaking... LOWASSA ARUDI NYUMBANI KWA FISADI WENZAKE ALIOWAZOEA

View attachment 1912649

Eeeh hana madhara tena na alirudi nyumbani kuuguzwa ila sio kupewa dola

Hata mbowe kule aliko anapata mafunzo kwa gharama za hao walio nyumbani✌✌✌✌

Hiyo ndio serikali ya CCM kwa wote🤣🤣🤣🤣
 
Mbowe inadaiwa alidiriki kuwatumia baadhi ya wanajeshi ambao sio waaminifu kwa kuwalipa fedha ili watekeleze vitendo vya Kigaidi, hivyo haijalishi huyo Hamza alikuwa kada wa ccm lkn inawezekana kabisa akashawishiwa na Mbowe/CHADEMA akafanya uhalifu.
Lema amewahi kunukuliwa akisema kuwa wakati alipo kamatwa na Polisi, wapo baadhi ya Askari huwa walikuwa wanampa taarifa za siri!!!
ipo wazi kabisa wapo baadhi ya makada wa ccm na hata viongozi waliopo serikalini ambao sio waaminifu ambao wanaweza kushirikiana ktk kutenda na kufanikisha uovu/uhalifu hivyo haijalishi kama inavyo daiwa Mbowe na hao wenzake alionwarubuni kutekeleza vitendo vya kigaidi.
 
inaonekana kuna baadhi ya wafuasi wa Mbowe/Chadema na baadhi ya viongozi kama wana vichembe chembe vya kigaidi.
waswahili wanasema maji hufuata mkondo.............................................
inabidi wafuatiliwe kwa karibu sana.
 
Wapenda amani kote nchini na wazalendo wa nchi popote pale walipo kamwe tusikubali hawa wahuni wachache wanao jifanya wanadai haki kwa kuvunja sheria watuharibie Amani ya nchi yetu.
tuchukue hatua za kuwafichua na kuwa ripoti popote pale walipo.
sio wafuasi wote wa chadema wanafurahia uhuni huu bali wapo wahuni wachache wenye chembe chembe za Ugaidi/uhalifu/ujanbazi/wizi ndio wanafanya vitendo hivi vya kihuni ili wapate sababu.
 
Kumbe kweli Serikali haikukosea kumshitaki Mbowe na makosa ya UGAIDI, maana viongozi na baadhi ya wafuasi wa CHADEMA wamefurahia sana kitendo cha GAIDI HAMZA kuuwa askari na kuleta taharuki.
na huo ndio inasemekana ilikuwa mkakati wa Mbowe.
na endapo HAMZA asinge uwawa lazima Chadema wange mnunua ili kutekeleza uhalifu.
hii inathibitisha kuwa Chadema ni Kichaka cha wahalifu.
 
Back
Top Bottom