Wananchi wana haki ya kumfukuza, kumzomea na hata kutii agizo lolote la mtu ambaye hawakumchagua.
Kwanza viongozi wengi tunawafahamu kuoitia kampeni na zoezi la uchaguzi. Sasa mtu unaona anakuja tu kukuambia kuwa yeye ni Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa, anaomba mchango wa ujenzi wa madarasa, utakuwa na uhakika gani kuwa siyo tapeli?