Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Kilimahewa Wazo anusurika kupigwa na wapiga kura wake. Akimbilia karandinga la Polisi kuokoa maisha yake

Wananchi wana haki ya kumfukuza, kumzomea na hata kutii agizo lolote la mtu ambaye hawakumchagua.

Kwanza viongozi wengi tunawafahamu kuoitia kampeni na zoezi la uchaguzi. Sasa mtu unaona anakuja tu kukuambia kuwa yeye ni Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa, anaomba mchango wa ujenzi wa madarasa, utakuwa na uhakika gani kuwa siyo tapeli?
 
Nawapa 'A top' lazima viongozi wachaguliwe na wanainchi na siyo chama dola kwani wananchi ndiyo wanawajua viongozi wanaofaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…