Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawapa 'A top' lazima viongozi wachaguliwe na wanainchi na siyo chama dola kwani wananchi ndiyo wanawajua viongozi wanaofaaHii ni kali wakazi wa Kilimahewa huko Wazo Tegeta wamemshambulia kwa kipigo Mwenyekiti wao wa mtaa ambaye alilazimika kukimbilia karandinga ya polisi.
Mwenyekiti huyo anatuhumiwa kubadili mipaka ya viwanja vya wakazi hao kinyemela na baadaye kuwadai rushwa.
Wakazi wamedai hawamtaki mwenyekiti huyo kwa kuwa aliletwa tu na CCM wao hawakumchagua.
Source ITV habari
My take; Kwanini hawa viongozi mafisadi hupendelea kuvaa sare za CCM?
Maendeleo hayana vyama!