Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 12,000
Looking to this guy amebakisha kwenda ofisi ya mo na kunywa kahawa pale kwenye lijigorofa zilipo ofis za mo
Ana kazi Gani nyingine? Tunajua huyu nkwambi ni pandikizi la dewj hana mpango wowote zaidi ya kwenda kushinda na mo ofsini kwake
Kwa habari za chini chini zinasema nkwambi anataka kumsaidia mo aongeze hisa za umiliki ili aimiliki kiujumla simba
Mo atambue kuwa alipendelealwa tu kupewa uwekezaji lakini kuna watu kama kina bakhresa waliweka pesa chafu mezani kununua hisa za simba ila yeye kwa sababu uwa anajitolea vitu vidogo ndio akapewa kipaumbele
Nkwambi usione wanasimba wamenyamaza ukaona hatujui kinachoendelea
Kama mo anataka hisa zaidi mwambie turudi kuandika katiba ya simba upya acheni uhuni
Nkwambi umeshafeli siku nyingi si tunakuzom tu tunawasubiri mjichanganye we na boss wako uyo
God first
Ana kazi Gani nyingine? Tunajua huyu nkwambi ni pandikizi la dewj hana mpango wowote zaidi ya kwenda kushinda na mo ofsini kwake
Kwa habari za chini chini zinasema nkwambi anataka kumsaidia mo aongeze hisa za umiliki ili aimiliki kiujumla simba
Mo atambue kuwa alipendelealwa tu kupewa uwekezaji lakini kuna watu kama kina bakhresa waliweka pesa chafu mezani kununua hisa za simba ila yeye kwa sababu uwa anajitolea vitu vidogo ndio akapewa kipaumbele
Nkwambi usione wanasimba wamenyamaza ukaona hatujui kinachoendelea
Kama mo anataka hisa zaidi mwambie turudi kuandika katiba ya simba upya acheni uhuni
Nkwambi umeshafeli siku nyingi si tunakuzom tu tunawasubiri mjichanganye we na boss wako uyo
God first