Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 12,000
- Thread starter
- #21
Tunataka klabu itajirike na muwekazaji anufaike na uwekezaji wakeHizi timu kubwa mbili zilikuwa na madudu sana, watu walitajirika kupitia hizi timu. Ila baada ya kubadili mfumo wa kujiendesha watu wakajua ulaji haupo tena.
Uache kuwaza anguko la timu, badala yake waza mafanikio ya timu.
Ila sio muwekezaji ndio awe ndio kila kitu
Kwa jinsi mwenyekiti wetu alivyo mzee wa ndio mzee usishangae simba kubaki kuwa maskini kama siku zote
God first