Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kwa mujibu wa katiba ya Simba Manara anapaswa kutumwa na Swedi
Lazima wana simba tufahamuMbumbumbu mshaanza kùbaguana wenyewe kwa wenyewe
Aiseeee !!
Swali zuri sana hili, na liko valid hadi leoNaomba kuwauliza wanasimba wenzangu kisa cha kumpa uongozi Swedi ilikuwa nini ? aliwahi kuifanyia nini Simba , hivi aliomba mwenyewe uongozi huu au alipachikwa tu ili kutimiza malengo ya baadhi ya wachumia simba , je wanaSimba bado mnaridhika na swedi kuongoza Simba ?