Wewe ni mjingaYameahirishwa ?πΌ
Nimeona kule Antipas ameanza kupiga mayowe
Haya πΌWewe ni mjinga
12:03Ndugu yangu, nasikitika kusema kwamba una kila dalili umekosa melanin kwenye ubongo wako.
Amepata KIBALI Cha hiyo Press? πΌKaa kwa kutulia.
Najua sasa umeweka vidonge vya presha karibu kabisa
Tunasubiri hotuba hivyo muhimu sana kwa mustakakabali wa Taifa letu. Mwenendo wa Taifa letu kwa sasa sio mzuri kuna ombwe kubwa la uongozi.Kwa mujibu wa taarifa ya John Mrema kupitia mtandao wa X muda huu saa 5:30.
Fuatilia Updates hapa:
Mbowe akizungumza na Taifa
Shida ya jo ni mnaa mmoja hivi yeye ni popo na yeye ni ndege kwa wakati mmoja.Yameahirishwa ?πΌ
Nimeona kule Antipas ameanza kupiga mayowe
Ni heri kuuawa wote siku moja na kuzikwa kwa heshima kuliko kuuliwa mmoja mmoja kwa tarehe zisizojulikana na maiti zenu kumwagiwa tindikali, Kuliwa na fisi au kupotea .Atumie tu busara kuepusha shari maana ujumbe umefika.
Nimeuliza tu bwashee πShida ya jo ni mnaa mmoja hivi yeye ni popo na yeye ni ndege kwa wakati mmoja.
Unasema hayo Kwa kujificha kwenye ID fake? πNi heri kuuawa wote siku moja na kuzikwa kwa heshima kuliko kuuliwa mmoja mmoja kwa tarehe zisizojulikana na maiti zenu kumwagiwa tindikali, Kuliwa na fisi au kupotea .
Umejuaje sii halisi ,umemdukua ama,kama hivyo weka matokeo ya kazi yako hapa.Unasema hayo Kwa kujificha kwenye ID fake? π
Mdude ndio Kidume wenu Ufipa st
Kutoka Kwa NaniAmepata KIBALI Cha hiyo Press? πΌ