Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
- Thread starter
- #21
Hatari Mkuu... ushabiki uliopitiliza ni hatariDuuh! Kweli bongo nyoso.
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari Mkuu... ushabiki uliopitiliza ni hatariDuuh! Kweli bongo nyoso.
Mtoto kautaka..... wenye makosa ni viongozi wa Simba.Pole kwa familia yake, ndugu, jamaa na marafiki. Yanga kuweni na huruma
kwahiyo goli ni la max au kijili?Goli lilianzia mbali kama treni ya Kigoma , mambo yalianzia faulo kali ya Mzee Chama akamning'iniza Camara, Camara akaleta mbwembwe za kutaka kuudaka mpira kama nyani eti afanane na Kipa wa Jupiter Diarra, basi badala ya kuupangua mpira utoke nje Camara akauzuia na ukaangukia ndani , ukakutana na Max Nzengeli , mchezaji wa kiwango cha dunia akaupiga tena golini kwa shuti kali lililomshinda Kapombe na kwa kiwewe Kelvin Kijiri akajifunga. Kama kawaida goli la Max Nzengeli huwa limetumwa na mizimu ya kwao Congo DR kuja Kwa Mkapa huwezi kurudisha kamwe!!
Naamini kolo umeridhika kujua goli lilivyofungwa maana ulikuwepo kwa Mkapa jana badala ya kuangalia magoli ya Yanga we kazi kubishana tu na refa, refa anakwambia Ateba kaotea japo kashindwa kufunga, wewe unabisha tu hata baada ya Azam TV kukuchorea mstari wakionesha Ateba yuko offside na kibendera katangulia mbele kusubiri Ateba akose yeye amalizie kufunga
Kafunga Kelvin Kijili, akitumia vizuri assist ya wachezaji watatu! Chama, Camara na Nzengeli. Yaani kiufupi ni goli zuri na la kitaalam kabisa, lililo wahusisha wachezaji wa timu zote mbili.samahani mkuu jana sijaangalia mechi goli la yanga kafunga nani?
Hana jina wala maelezo ya dakitariAFARIKI KISA SIMBASC .
[emoji419] Mwenyekiti wa tawi Kiwalani Jijini Dar es salaam Amefariki Dunia Jana kwa presha Baada ya Simba kufungwa Na Yanga Dakika Za Jioni .
Bwana alitoa Bwana Ametwaa ,Pumzika salama Majidi Pembe.
Mazishi ni Leo Mchana .
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ile ya Ateba, wala waamuzi hawakuamua kama ni offside bali tu ni Diara kaiokoa. Kama Ateba angefunga lingehesabiwa japo alikuwa kwenye eneo la kuoteaGoli lilianzia mbali kama treni ya Kigoma , mambo yalianzia faulo kali ya Mzee Chama akamning'iniza Camara, Camara akaleta mbwembwe za kutaka kuudaka mpira kama nyani eti afanane na Kipa wa Jupiter Diarra, basi badala ya kuupangua mpira utoke nje Camara akauzuia na ukaangukia ndani , ukakutana na Max Nzengeli , mchezaji wa kiwango cha dunia akaupiga tena golini kwa shuti kali lililomshinda Kapombe na kwa kiwewe Kelvin Kijiri akajifunga. Kama kawaida goli la Max Nzengeli huwa limetumwa na mizimu ya kwao Congo DR kuja Kwa Mkapa huwezi kurudisha kamwe!!
Naamini kolo umeridhika kujua goli lilivyofungwa maana ulikuwepo kwa Mkapa jana badala ya kuangalia magoli ya Yanga we kazi kubishana tu na refa , refa anakwambia Ateba kaotea japo kashindwa kufunga, wewe unabisha tu hata baada ya Azam TV kukuchorea mstari wakionesha Ateba yuko offside na kibendera katangulia mbele kusubiri Ateba akose yeye amalizie kufunga!!
yanga pamoja na ubora wao wameshindwa kufunga hata goli moja? Hii ni aibu hii hivi kweli ubingwa wa cafcl tutachukua kweli
yanga na ubora wao wote wameshindwa kufunga goli?Kafunga Kelvin Kijili, akitumia vizuri assist ya wachezaji watatu! Chama, Camara na Nzengeli. Yaani kiufupi ni goli zuri na la kitaalam kabisa, lililo wahusisha wachezaji wa timu zote mbili.
Acha mbwembwe msibani.RIP
Derby ya kariakoo ni vizuri ifutwe kama ndo hayo, Yanga baada ya kunywa supu leo tutangaze mpinzani wetu ni Real Madrid maana Simba haituwezi tena, hii si haki kwa Simba kujilinganisha uwezo na kuivimbia Yanga yenye ubora mkubwa sana.
Sasa hawa Simba kitimu chao kidogo ila kila tukikifunga kinaona tumebahatisha wakati level zetu na wao si sawa tena kwasasa, wao Simba wako kombe la mademu ndondo cup shirikisho sisi tuko kombe la wanaume klabu bingwa Africa wapi na wapi .
Simba ni wakati sasa watangaze kuwa wao ni underdog na wajiweke kundi moja na KMC, Namungo na Kagera sugar ili kunusuru mashabiki wake, kuendelea kuwaaminisha mashabiki kuwa wataifunga Yanga wakati ubavu hawana matokeo yake ndo hayo!! Wengi wanaumwa sana kwasasa raha imekata miaka inaenda tu Yanga bingwa!!
Wameshindwaje tena kufunga goli, na wakati mechi imeisha kwa Yanga kupata ushindi wa goli 1-0! Haijalishi amefunga nani! Maana zisingetokea purukushani, huyo Kijili asingeweza kujifunga.yanga na ubora wao wote wameshindwa kufunga goli?
Kafungwa Simbasamahani mkuu jana sijaangalia mechi goli la yanga kafunga nani?