TANZIA Mwenyekiti wa tawi la Simba Kiwalani Amefariki Dunia kisa Simba

RIP Mwenyekiti
Simba itakuwa imara one Day
 
Kweli makaburi Yana watu wengi sana waliokwenda kabla ya wakati wao
 
kwahiyo goli ni la max au kijili?
 
Hana jina wala maelezo ya dakitari
 
Ile ya Ateba, wala waamuzi hawakuamua kama ni offside bali tu ni Diara kaiokoa. Kama Ateba angefunga lingehesabiwa japo alikuwa kwenye eneo la kuotea
 
Kafunga Kelvin Kijili, akitumia vizuri assist ya wachezaji watatu! Chama, Camara na Nzengeli. Yaani kiufupi ni goli zuri na la kitaalam kabisa, lililo wahusisha wachezaji wa timu zote mbili.
yanga na ubora wao wote wameshindwa kufunga goli?
 
Acha mbwembwe msibani.

Apumzike kwa amani mwanasoka.
 
yanga na ubora wao wote wameshindwa kufunga goli?
Wameshindwaje tena kufunga goli, na wakati mechi imeisha kwa Yanga kupata ushindi wa goli 1-0! Haijalishi amefunga nani! Maana zisingetokea purukushani, huyo Kijili asingeweza kujifunga.
 
Kuna upunguani mwingine siyo wa kusema jina la bwana lihimidiwe.
Hivi mnawezaje kuwaza mambo ya mpira hadi mtu unapata presha ya kufa?
Ushabiki uliopitiliza Mzee[emoji23]
 
Wameshindwaje tena kufunga goli, na wakati mechi imeisha kwa Yanga kupata ushindi wa goli 1-0! Haijalishi amefunga nani! Maana zisingetokea purukushani, huyo Kijili asingeweza kujifunga.
Hao ndo Mbu mbu Mbu
 
Kafariki dunia wapi wewe acha fix huyo kafariki kiwalani

Kufariki dunia ina maana unakuwa umekufa kila nchi dunia nzima,umekufa Kenya Uganda,Marekani nk

Huyo kafariki Kiwalani hakuna cha kufariki dunia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…