Lile goli la Max bwana
Kijili wanamsingizia ule mpira ulishavuka mstari kama mpira ulimgusa basi ulimgusa padogo sana wazanzengo wanamuuzia kesi kijili
Tatizo lao hao makolo walikuwa na matokeo tayari mifukoni mwaoo ! Halafu niwape ushauri wa bure tu ya kuwa mpira ni uwanjani na si mdomoni ! Simba wanacheza sana mpira wa mdomoni badala ya uwanjani !!!
Tatizo lao hao makolo walikuwa na matokeo tayari mifukoni mwaoo ! Halafu niwape ushauri wa bure tu ya kuwa mpira ni uwanjani na si mdomoni ! Simba wanacheza sana mpira wa mdomoni badala ya uwanjani !!!