Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Hayupo mtu wa kupoteza muda wake kumsikiliza huyo mfirisikaji
Hivi kuna mjinga gani anaweza kupoteza muda kumsikiliza Mrema ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kuna mjinga gani anaweza kupoteza muda kumsikiliza Mrema ?
Anaweza kupanda Jukwaani tena huyu?
Tanzania kunachekesha sana. Kwa hiyo hapa TLP ni branch ya CCM na sio chama cha upinzani.
Huyu anaomba hela kijanja kwa JPM, mzee anazeeka vibaya, hivi CCM ina shida gani ya kupigiwa debe na huyu chokambaya ilhali kuna NEC, wakurugenzi na polisccm? Atuondolee kifaduro chake hapa.Mwenyekiti wa Chama Cha TLP Augustine Mrema amesema atazunguka nchi nzima kumnadi Rais Dkt John Magufuli kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu na kwamba haya si maamuzi yake binafsi bali ni ya mkutano mkuu wa TLP
Afya yenyewe mgogoroJumanne alitoa kadi za muda (transit) kwani walioihama Chadema kwenda CCM.
CCM na TLP wamevunja sheria ya uchaguzi kwa kutangaza hadharani ushirikiano wao bila makubaliano maamum ya kisheria..... Msajili wa vyama huu ni ushahidi tosha kwamba wanastahili kufutwa wote wawili.
Kama hawafutwi basi na sisi tukianza kumdadi mgombea wa chama X usinune maana sheria huwa haili upande mmoja.
Atakuwa analetewa watu na mafuso kwa hisani ya watu wa Lumumba.Huyo alisha sahahulika kwenye mambo ya siasa na sidhani hata kama ataitisha mkutano anaweza kupata watu angalau 100 kumsikiliza.
utashangaa wajumbe wa mkutano mkuu wapo ndani ya payroll ya lumumba.....Tanzania ina maajabu mengi kuliko tunavyodhani..Kuna wakati nilifikiri maajabu haya yatapungua kumbe ndiyo kwanza yanazidi kuongezeka.
Uwezekano huo ni mkubwa, ila sasa hiyo hotuba nayo atasaidiwa?Atakuwa analetewa watu na mafuso kwa hisani ya watu wa Lumumba.
Watu wa aina hiyo ndo mzee anawakubali, wewe unadhani kwenye kampeni anaweza kukubali kuambatana na watu kama kina January et all??Uwezekano huo ni mkubwa, ila sasa hiyo hotuba nayo atasaidiwa?
Kuongea mwenyewe ni kama kindergarten
Anakitafuta kifo.
Angetulia na wajukuu
Unajua umri wake na purukushani za kampein ni ngumu sana
Wewe ndio hupanga vifo?
Wapo mkuu si kama hao wanachama wa TlpHivi kuna mjinga gani anaweza kupoteza muda kumsikiliza Mrema ?
Mwenyekiti wa Chama Cha TLP Taifa , Augustine Mrema amesema atazunguka nchi nzima kumnadi Rais Dkt John Magufuli kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu na kwamba haya si maamuzi yake binafsi bali ni ya mkutano mkuu wa TLP Taifa
Pia soma
Uchaguzi 2020 - TLP Updates: Fahamu Mambo matano (5) kati ya ishirini na moja (21) yanayoisukuma zaidi TLP kumuunga Mkono Mhe Dkt. John Magufuli kuelekea Okt 2020
Uchaguzi 2020 - Chama cha Labour Tanzania (TLP) chamuunga mkono Rais Magufuli, wasema "Hatuna makubaliano yoyote na CCM, Kiherehere hiki ni Uzalendo tu"
Ngoja ajaribu arudishwe Kiraracha akiwa amelalaHuyu mzee anahitaji kupumzika, nguvu za kuzunguka nchi nzima anazipata wapu