Mwenyekiti wa chama cha TLP Taifa, Ivan Jackson Maganza ameamua kuambatana na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Amos Makala katika kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuwanadi wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Akiwa katika uzinduzi wa kampeni katika eneo la Manzese jijini Dar es Salaam, Maganza amesema kuwa ameamua kukupigia debe Chama Cha Mapinduzi kutokana na chama chao kutosimamisha wagombea na kuridhishwa na kazi zinazofanywa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Mwenyekiti wa chama cha TLP Taifa, Ivan Jackson Maganza ameamua kuambatana na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Amos Makala katika kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuwanadi wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Akiwa katika uzinduzi wa kampeni katika eneo la Manzese jijini Dar es Salaam, Maganza amesema kuwa ameamua kukupigia debe Chama Cha Mapinduzi kutokana na chama chao kutosimamisha wagombea na kuridhishwa na kazi zinazofanywa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Mwenyekiti wa chama cha TLP Taifa, Ivan Jackson Maganza ameamua kuambatana na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Amos Makala katika kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuwanadi wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Akiwa katika uzinduzi wa kampeni katika eneo la Manzese jijini Dar es Salaam, Maganza amesema kuwa ameamua kukupigia debe Chama Cha Mapinduzi kutokana na chama chao kutosimamisha wagombea na kuridhishwa na kazi zinazofanywa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Mwenyekiti wa chama cha TLP Taifa, Ivan Jackson Maganza ameamua kuambatana na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Amos Makala katika kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuwanadi wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Akiwa katika uzinduzi wa kampeni katika eneo la Manzese jijini Dar es Salaam, Maganza amesema kuwa ameamua kukupigia debe Chama Cha Mapinduzi kutokana na chama chao kutosimamisha wagombea na kuridhishwa na kazi zinazofanywa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.