LGE2024 Mwenyekiti wa TLP Taifa, Ivan Maganza awanadi wagombea wa CCM

LGE2024 Mwenyekiti wa TLP Taifa, Ivan Maganza awanadi wagombea wa CCM

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mwenyekiti wa chama cha TLP Taifa, Ivan Jackson Maganza ameamua kuambatana na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Amos Makala katika kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuwanadi wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Kupata nyuzi za kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Akiwa katika uzinduzi wa kampeni katika eneo la Manzese jijini Dar es Salaam, Maganza amesema kuwa ameamua kukupigia debe Chama Cha Mapinduzi kutokana na chama chao kutosimamisha wagombea na kuridhishwa na kazi zinazofanywa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
 
Mwenyekiti wa chama cha TLP Taifa, Ivan Jackson Maganza ameamua kuambatana na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Amos Makala katika kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuwanadi wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Akiwa katika uzinduzi wa kampeni katika eneo la Manzese jijini Dar es Salaam, Maganza amesema kuwa ameamua kukupigia debe Chama Cha Mapinduzi kutokana na chama chao kutosimamisha wagombea na kuridhishwa na kazi zinazofanywa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
ungwana ni maneno na matendo,
well done TLP 🐒
 
Mwenyekiti wa chama cha TLP Taifa, Ivan Jackson Maganza ameamua kuambatana na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Amos Makala katika kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuwanadi wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Akiwa katika uzinduzi wa kampeni katika eneo la Manzese jijini Dar es Salaam, Maganza amesema kuwa ameamua kukupigia debe Chama Cha Mapinduzi kutokana na chama chao kutosimamisha wagombea na kuridhishwa na kazi zinazofanywa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Maiti inasindikiza mahututi
 
Mwenyekiti wa chama cha TLP Taifa, Ivan Jackson Maganza ameamua kuambatana na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Amos Makala katika kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuwanadi wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Kupata nyuzi za kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Akiwa katika uzinduzi wa kampeni katika eneo la Manzese jijini Dar es Salaam, Maganza amesema kuwa ameamua kukupigia debe Chama Cha Mapinduzi kutokana na chama chao kutosimamisha wagombea na kuridhishwa na kazi zinazofanywa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Upinzani umevamiwa
 
Back
Top Bottom