Mwenyekiti wa UVCCM Kagera aliyetangaza kupoteza watu afiwa na baba mzazi

Mwenyekiti wa UVCCM Kagera aliyetangaza kupoteza watu afiwa na baba mzazi

Nkarahacha

Member
Joined
Oct 3, 2023
Posts
17
Reaction score
38
Alietangaza kuanza kuwapoteza watu afiwa na baba yake mzazi.

Mpe neno la faraja

Screenshot_2024_0920_085842.png


Soma Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute
 
Uchinga wa huyo kijana isiwe hukumu kwa baba yake

Biblia kitabu cha nabii Ezekiel kinasema uovu wa baba utamfaa yeye mwenyewe baba na uovu wa mtoto utamfaa yeye mwenyewe mtoto
 
Back
Top Bottom