Pre GE2025 Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Iringa Zainab Mwamwindi aongoza kikao cha kamati ya utekelezaji mkoa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Iringa Ndugu Zainab Mwamwindi hivi leo Februari 15 ameongoza kikao maalum cha Kamati ya Utekelezaji ya Baraza la UWT Mkoa wa Iringa kilichofanyika katika ofisi za UWT Mkoa wa Iringa.
 
Zainabu baba yake yule mzee Mwamwindi aliempiga risasi na kumuua aliekuwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa Dkt. Kireluu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…