The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Mwenyekiti wa Wafanyabishara Kariakoo anasema chanzo cha mgomo wao ni TRA kurudisha enforcement.
Malalamiko yao makubwa ni kwamba TRA inawaonea kwa sababu inawadai VAT na waziri mkuu aliagiza TRA iwasikilize.
Nachokiona ni kwamba wafanyabishara hawataki kabisa kulipa kodi nchi hii. Hii nchi itaendeleaje kama watu hawataki kulipa kodi?
View: https://www.instagram.com/reel/C8jy0vIiY4L/?igsh=MXdqMjhwZncxMzhxbg==
Malalamiko yao makubwa ni kwamba TRA inawaonea kwa sababu inawadai VAT na waziri mkuu aliagiza TRA iwasikilize.
Nachokiona ni kwamba wafanyabishara hawataki kabisa kulipa kodi nchi hii. Hii nchi itaendeleaje kama watu hawataki kulipa kodi?
View: https://www.instagram.com/reel/C8jy0vIiY4L/?igsh=MXdqMjhwZncxMzhxbg==