Mwenyekiti wa Wafanyabishara Kariakoo: Tunataka kugoma kwa Sababu ya TRA haitaki kutuelewa

Mwenyekiti wa Wafanyabishara Kariakoo: Tunataka kugoma kwa Sababu ya TRA haitaki kutuelewa

Mchina aliyepo Tz Kwa Mfano,

Anauza Guta Kwa mfanyabiashara Kwa Bei ya 2000,000,

Na selling price ni 2050,000, na mchina huyo anakupa risiti iliyoandikwa 1900,000 pungufu ya Bei uliyolipia ya 2,000,000.

Ukifika dukani kwako ukauza Kwa 2050,000, mteja atadai utoe risiti halali ya 2050,000.

Haya, huyo mfanyabiashara atapeleka au hesabu yake ya vat itasomekaje.

Majibu tafadhali 🙏
Hakuna kitu kitanunuliwa wholesale 2,000,000 halafu kiuzwe Retail 2,050,000. Tuongelee uhalisia.
Mchina ni wholesaler kwa point hii. Ana jukumu la kutoa VAT receipt kwa retailer. Kwahio kwenye hio 2m kuna VAT.
Retailer ataenda kuuza kwa mteja wa mwisho mfano atauza 2.5m ambaya itakuwa na VAT kama retailer ni VaT registered.
Sasa retailer atatakiwa kupeleka VAT TRA.
Hapa atachukua VAT amount aliotoa kwa mchina halafu ataipunguza VAT alimchaji mteja wake wa mwisho. Tofauti ndio anapeleka TRA.
Kifupi VaT analipa mteja wa mwisho.
Shida iliopo Kariakoo mtu ambaye ni VaT registered anashindana biashara na mtu ambaye hajasajiliwa VAt.
Kitu cha 100 mtu ambaye kasajiliwa VaT itabidi auze 118 wakati asiesajiliwa atauza 100 na mko mtaa mmoja.
Imagine tv 300,000 VaT ni 50,000
Hapa asiesajiliwa VaT atauza 250,000 tu huku aliesajiliwa itabidi auze 300,000. Kuna mmoja hatauza hapo.
 
Hivi unaakili kweli wewe?? Hebu rudia mara mbili mbili ulichoandika mwehu wewe
VAT ni somo kubwa uyo yuko sahihi lkn Elimu pia Raia hawana VAT baada ya bidha kufika dukan mteja lazma alipe lkn Purchasing power ya watanzania ni ndogo lazm umuuzie bila resit au umuuzie kwa kutoa resit ndogo kitu Cha laki tatu resit ya 70000 ya njian😂

Haya Kuna maduka hapo mjini ni makubwa. Lkn kwenye mfumo wa VAT bado sasa hapo huwez sema Kuna. Fair trade
 
Mwenyekiti wa Wafanyabishara Kariakoo anasema chanzo cha mgomo wao ni TRA kurudisha enforcement.

Malalamiko yao makubwa ni kwamba TRA inawaonea kwa sababu inawadai VAT na waziri mkuu aliagiza TRA iwasikilize.

Nachokiona ni kwamba wafanyabishara hawataki kabisa kulipa kodi nchi hii. Hii nchi itaendeleaje kama watu hawataki kulipa kodi?


View: https://www.instagram.com/reel/C8jy0vIiY4L/?igsh=MXdqMjhwZncxMzhxbg==


TRA wanafunga account. Wanafunga EFD machines hata bila kudaiwa kodi, eti kwa makosa.
Kuna wakati adui wa mtu ni mtu mwenyewe. Kufanya biashara Tanzania kwanini imekuwa kama ni dhambi?
 
Hakuna kitu kitanunuliwa wholesale 2,000,000 halafu kiuzwe Retail 2,050,000. Tuongelee uhalisia.
Mchina ni wholesaler kwa point hii. Ana jukumu la kutoa VAT receipt kwa retailer. Kwahio kwenye hio 2m kuna VAT.
Retailer ataenda kuuza kwa mteja wa mwisho mfano atauza 2.5m ambaya itakuwa na VAT kama retailer ni VaT registered.
Sasa retailer atatakiwa kupeleka VAT TRA.
Hapa atachukua VAT amount aliotoa kwa mchina halafu ataipunguza VAT alimchaji mteja wake wa mwisho. Tofauti ndio anapeleka TRA.
Kifupi VaT analipa mteja wa mwisho.
Shida iliopo Kariakoo mtu ambaye ni VaT registered anashindana biashara na mtu ambaye hajasajiliwa VAt.
Kitu cha 100 mtu ambaye kasajiliwa VaT itabidi auze 118 wakati asiesajiliwa atauza 100 na mko mtaa mmoja.
Imagine tv 300,000 VaT ni 50,000
Hapa asiesajiliwa VaT atauza 250,000 tu huku aliesajiliwa itabidi auze 300,000. Kuna mmoja hatauza hapo.
Hizi hesabu mnafanyia dukani kwa mtu au mmekaa ofisini? Hii ya ubabe, mnapoteza. Watu hawatalipa kodi
 
Mwisho wa siku kodi lazima ilipwe

Wenzetu wanaona sifa kuwa walipa kodi. Lakini kodi halali. TRA na wafanyakazi wake wanatengeneza mazingira magumu kwa wafabiashara ili wajipatie hela za kuonekana wanasaidia kupunguza kodi.
Anyway, nafikiri tumeanza kulisha akili zetu uongo. Kuna usemi wanasema Gabage in Gabage Out. Yangu macho
 
Kwanini akupe listi ya 190000?
Waulize wafanyabiashara,

Wamekuwa wakilalamika hata mgomo uliopita ilikuwa hivyo hivyo.

Akienda kununua Mzigo huko Kwa matajiri, hawatoi risiti Sawa sawa na pesa mnunuzi aliyolipia.

Na hapo tatizo la kudanganya na kukwepa Kodi ndipo linapoanzia.
 
Mgeni anauziwa na VAT 18% wakati bidhaa hatumii Tanzania na hatuna utaratibu wowote wa kuwarudishia VAT zao kama wao wanavyoturudishia sisi VAT zao...
Wafanyabiashara wanalipa kodi nyingi sana na bado wanasumbuliwa..
 

Attachments

  • IMG-20240623-WA0002.jpg
    IMG-20240623-WA0002.jpg
    62.3 KB · Views: 2
Back
Top Bottom