maji ya gundu
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,070
- 4,698
poleni na majukumu wakuu
saizi nimekaa natafakari juu ya watu wanapost pumba jf akina ndege John, zero iq na kisandu junior nimegundua kua mimi nafaa kua Mwenyekiti wao kwa sababu zifuatazo
moja😛umba zangu hazichoshi unavosoma nasema hivi kwa sababu najijua nna uwezo wa kutengeneza pumba nzuri inayo weza kumvutia kila mmoja na akafurahi wakati anasoma
mbili:kwene pumba zangu lazima utajifunza kitu huwezi kutoka mtupu namaanisha hakuna uchafu ambao ni uchafu wote koo ata nikipost pumba kiasi gani lazima utagain kitu
tatu:najua kwenda na wakati namaanisha nafahamu wana jf wezangu mnafikiria nini niwatengenezee pumba ya aina gani gani ili twende sawa ili niwatoe mawazo
NB:sababu zipo nyingi sana za kufanya mi niwe Mwenyekiti wenu but all in all naombeni mnichague kua meen wa waposti pumba kwa sababu nna kila kigezo
saizi nimekaa natafakari juu ya watu wanapost pumba jf akina ndege John, zero iq na kisandu junior nimegundua kua mimi nafaa kua Mwenyekiti wao kwa sababu zifuatazo
moja😛umba zangu hazichoshi unavosoma nasema hivi kwa sababu najijua nna uwezo wa kutengeneza pumba nzuri inayo weza kumvutia kila mmoja na akafurahi wakati anasoma
mbili:kwene pumba zangu lazima utajifunza kitu huwezi kutoka mtupu namaanisha hakuna uchafu ambao ni uchafu wote koo ata nikipost pumba kiasi gani lazima utagain kitu
tatu:najua kwenda na wakati namaanisha nafahamu wana jf wezangu mnafikiria nini niwatengenezee pumba ya aina gani gani ili twende sawa ili niwatoe mawazo
NB:sababu zipo nyingi sana za kufanya mi niwe Mwenyekiti wenu but all in all naombeni mnichague kua meen wa waposti pumba kwa sababu nna kila kigezo