Utaumia SanaSalam sana wapenzi wana jamvi.
mjumbe hauwawi mimi ni CCM kindakindaki ila kwa huyu mwenyekiti wetu wa sasa anaingizwa mtegoni kirahisi sana ns hawa wahuni kinachokwenda kutokea msiniulize ila CCM tunaenda kuwa chama cha upinzani
Na ikifika 2024 watu wanaandamana ili mzee Magu aendele kuwa Rais.
Kama una dola makini unshindwaje uchaguzi!!!
Sent using Jamii Forums mobile app