Mwenyekiti wetu Hersi jishushe nenda kamwombe msamaha Haji Manara aturudishie Mganga wake

Mwenyekiti wetu Hersi jishushe nenda kamwombe msamaha Haji Manara aturudishie Mganga wake

Minjingu Jingu

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2023
Posts
1,072
Reaction score
2,384
Mimi sina mengi. Baada ya kuwa tumekosa kumtumia yule mganga sasa hali yetu imekuwa mbaya. Hata ile namna nyingine ambayo tuliamua kuwa ingetusaidia katika kupata ushindi matches hizi inakuwa ngumu sababu ni...

Turudie katika asili yetu. turudi kule ambako kulitusaidia tukawa Yanga ile. Tatizo nini Hersi kwenda omba msamaha na kurudishiwa mganga wetu.

Tumsikilize Manara tumpe na Uongozi.
 
Mimi sina mengi. Baada ya kuwa tumekosa kumtumia yule mganga sasa hali yetu imekuwa mbaya. hata ile namna nyingine ambayo tuliamua kuwa ingetusaidia katika kupata ushindi matches hizi inakuwa ngumu sababu ni ......

turudie katika asili yetu. tuudie kule ambako kulitusaidia tukawa Yanga ile. tatizo nini Hersi kwenda omba msamaha na kurudishiwa mganga wetu. tumsikilize Manara tumpe na Uongozi.
Jamaa alipotapika wakati kipindi cha pili kinaanza, ilipashwa mtu wa utopolo aweke hata maji mengi mdomoni kisha ayatapike.

Angalizo, nimeongea kichawichawi.
 
Haji Manara wa Simba...
Huyo mlivyomvurugavuruga mawazo yake yapo Simba sema anashindwa atarudije....
Kama unabisha waulize wanandoa walioishi muda mrefu afu wakatalikia mioyo yao inavyoweweseka
 
Mimi sina mengi. Baada ya kuwa tumekosa kumtumia yule mganga sasa hali yetu imekuwa mbaya. hata ile namna nyingine ambayo tuliamua kuwa ingetusaidia katika kupata ushindi matches hizi inakuwa ngumu sababu ni ......

turudie katika asili yetu. tuudie kule ambako kulitusaidia tukawa Yanga ile. tatizo nini Hersi kwenda omba msamaha na kurudishiwa mganga wetu. tumsikilize Manara tumpe na Uongozi.
Kumbe ni uchawi!
 
Haji Manara kwenye simu yake ana namba za waganga wengi kuliko namba za ndugu zake
 
Kwamba zile nafasi za Dube Manara atafunga akiombwa msamaha.

Naona unajitahidi kujipa kick mzungu pori.
 
Msimpe airtime huyo pandikizi...naongea kama mtani sitanii
 
1000016436.jpg
 
Mimi sina mengi. Baada ya kuwa tumekosa kumtumia yule mganga sasa hali yetu imekuwa mbaya. Hata ile namna nyingine ambayo tuliamua kuwa ingetusaidia katika kupata ushindi matches hizi inakuwa ngumu sababu ni...

Turudie katika asili yetu. turudi kule ambako kulitusaidia tukawa Yanga ile. Tatizo nini Hersi kwenda omba msamaha na kurudishiwa mganga wetu.

Tumsikilize Manara tumpe na Uongozi.
Wabongo na imani za kishirikina bwana, hakuna cha kuomba msamaha.
Hersi angaalie tu wachezaji, waliopo wamechoka, wanahitaji baadhi ya wachezaji wapya
 
Back
Top Bottom