Mwenyezi Mungu tujaalie tupate Magufuli Mwingine


Watu km nyie hata enzi za Nyerere mlikuwepo mlikuwa mnapenda sana kula left overs za wazungu…Nyerere alipokuwa anataka kutupa uhuru mlimuona mchawi mlikuwa mko tayari kumlipua kisa viporo…ila aliwapuuza sababu alijua elimu yenu na ufahamu wenu ni mdogo hakukata tamaa akasonga mbele…

Ila Magu alikuwa anadetect ignorant people from a far hakujaliwa kuvumilia upumbavu aliwapunish…
 
Ni misukule tu kama wewe ndiyo inamuabudu Dikteta wa Chato

Na watu km nyie ndio sumu ya maendeleo Tanzania…sijui tuwafanyeje…nenda Chato kama ulivyosema ukamtukane Magu kwa kaburi lake….majibu utakayopata yatakuwa mfano kwa watanzania wengine km wewe, wajifunze kutoka kwako…utakuwa mkombozi wa Taifa letu na shujaa
 
Aliyoyafanya Magufuli ni ushetani mtupu ndiyo maana Mungu kamtupa jehanamu!! Angekuwa ana akili kama unavyodai asinge Foji PhD ya maganda ya korosho
 
Nakushangaa unamtetea mtu ambaye mwenyewe alikiri kuwa ni Kichaa na Anthony Diallo akatukumbusha kuwa kuwa nchi yetu isije kutuletea Kichaa mwingine tena.

Kama unamtetea Kichaa wewe Micho ni msukule tu na chakula chako ni unga. Wanaofuga misukule wakifa misukule yao inasumbua kama wewe na mtoa mada mnavyotusumbua na thread za HOVYO
 
Aliyoyafanya Magufuli ni ushetani mtupu ndiyo maana Mungu kamtupa jehanamu!! Angekuwa ana akili kama unavyodai asinge Foji PhD ya maganda ya korosho

Aliekwambia kuna Jehanamu nani ulishawahi kwenda..

Yaani alipoingia maabara nakupima makinikia kujua kuna madini ya aina gani na pia kuwaumbua wazungu alipopima corona kwenye papai hio ni PHD tosha, certificate wakae nazo chuo sisi wana nchi tumempa PHD wenyewe…
 
Hicho ndiyo kichaa sasa. Umeambiwa mashine inapima sampuli za chembechembe za binadamu, wewe unapeleka mapapai, na bado unategemea ikupe majibu?? Hiyo ni matope siyo akili
 
Mama lazma mumfurahie sababu ya per diem mnazojiandikia daily! Misafari na seminar za upigaji hapo lazma mama ashabikiwe tu!

Na uzuri sio mfuatiliaji wa weledi wa wafanyakazi!
Nahisi na expatriates lazima wampigie kura 2025. Hongera mama wazawa wenye sifa wako mtaani unaongeza muda wa vibali vya kazi kwa wageni kutoka 5 years to 8 years..
 
tofautisha jpm na uongozi waleo alipelekewa uwongo kuhusu ugaidi akakataa alijua anavyazo mapato leo tunaombaomba na mwenyekiti ndani ,harafu watu wanakuja natakwimu zawanachama wengi digitali
 
Kipindi cha JPM Passport in two days??
Tafadhali..

Hio inapatikana kwa wenye connection tu

Raia tafuta passport mapema
 
Curiosity killed the cat 😂
 
Uncle Magu..ooh Uncle Magu.

Hivi kifo hakina kukata rufaa kweli wadau?

Sasa hivi mtaani hatuna hata matumaini ya kupata maendeleo. Wakati wa JPM tuliona maendeleo yanatusogelea Kila Kona. Sasa hivi tupo tu.
Poleni sana
 
God forbid 😡
 
Baba uzi wako tumeuelewa sana ila tunaogopa kurudia matapishi yetu, wacha tuumie kimoyo moyo na kuendelea kumtukana mzee humu jukwaani ili kuonesha misimano yetu ya awali ilhali moyoni tunamkumbuka.
 
Jiwe the murderer
Jiwe the liar
Jiwe the saddist
Jiwe the manipulator
Jiwe full of hatred

Mtu anawaambia wananchi kuwa wakichagua mpinzani haleti maji, huyo naye unamuona raisi mzuri?

Mtu anawaambia wakurugenzi kuwa anawapa mishahara, marupurupu etc halafu watangaze mpinzani kushinda, unamuona mtu wa hivi kama rais mzuri?
 
Kuna watu hawajui maana ya Saddist, Ni mtu anaefurahia kuona mtu mwingine anateseka,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…