Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weee mie napenda harusi eti ahahahHaaaaah haaaaah
Ila mikusanyiko hairuhusiwi hiyo bajeti ungeipeleka kwa muweka hazina tukajua tutaitumije
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah tutawapa wote Barakoa na lazima wajifukize kabla hawaajaingia ukumbini..Haaaaah haaaaah
Ila mikusanyiko hairuhusiwi hiyo bajeti ungeipeleka kwa muweka hazina tukajua tutaitumije
Sent using Jamii Forums mobile app
Umejinadi kuwa u-mbichi.Sijaongelea icho kitu mimi
Vigezo vilivyo baki ni vema tuvijadili chumbani maaana hapa maadui wasije iba mbinu za vita.Muulize amekidhi vigezo?
Hi hi hi kelvin marcus uje umsikie mwenzio anataka ajiongeze kabisa.Kwaajili ya ofa yako nimeifungua, na niko tayari kuweka namba yangu ya simu hapa hadharani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahah wataibaje ssVigezo vilivyo baki ni vema tuvijadili chumbani maaana hapa maadui wasije iba mbinu za vita.
Cc kelvin marcus
Sent using Jamii Forums mobile app
Uulizwe ww umekidhi vigezo?
Sijui mmekubaliana nini na huyo jamaa, ila niko tayari kuingia ulingoni na yoyote aliyepanda dau juu ya ofa yangu.Hi hi hi kelvin marcus uje umsikie mwenzio anataka ajiongeze kabisa.
Ahahaha ndo vigezo vyng mie ivyo
Duu! mbona sasa unaweka vigezo vingi!?Kuwa mbichi si mpk uwe bk
Hapo Nimekosa neno pia vikwazo viko kila mahaliHi hi hi kelvin marcus uje umsikie mwenzio anataka ajiongeze kabisa.
Pambania mkuu mwenye kisu kikali atakula nyamaSijui mmekubaliana nini na huyo jamaa, ila niko tayari kuingia ulingoni na yoyote aliyepanda dau juu ya ofa yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app