Mwenza bora anahitajika

Ww unataka kutuuzia mbuzi kwenye gunia sio bure..... Yaaan Miezi 3 mpo kwenye urafiki tu bila kutoa papuchu huu ujinga sifanyi baada hiyo miezi 3 ukinipa kitushapitiwa siku nyingi we unazan ntakuwa na hamu tena ya kukuoa
[emoji2][emoji2][emoji2] asa kitapitiwa na nani?
 
Kwa sifa hizi sahau kabisa kupata mume sana utaishia kuwa singo maza. Jokajeusi
 
ID yangu inasoma 2015, lakini nilitaka kukuuliza hivi hao wengine waliopitaga kwako hakuna aliyekuwa na kigezo hata kimoja?

Maisha na muziki


First to reply [emoji125][emoji125][emoji125]
Na kama hawakua na sifa, aliwapa papuchi ya nini?!
 
Uzi wa kimasihara umeniletea shida kwa mara nyingine
 
Duuuh hizo sifaaa,utasubiri sana
 
Hahaha.......anza kunificha ndani jirani mashoga zako wasinione, manake sifa zote ninazo[emoji3][emoji3]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] aisee, ya kweli hayo?. Mana sitaki ata kuamini mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…