Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jina lako linaanzia na herufi gani?. Na kwenye simu unaficha nini ahahaTeh teh teh ...moja ni kwa sababu ya jina halianzi na herufi pendwa...yapili kutokuwa na mipaka kwenye simu hilo pia ni tatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Tabia zipi!???Ahah kumbe ww hauna izo tabia eh?
Unaweza ukawa mshindi leo ww mana loh unajitahd sanaTeh teh teh ...moja ni kwa sababu ya jina halianzi na herufi pendwa...yapili kutokuwa na mipaka kwenye simu hilo pia ni tatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Namshangaa eti, anatoa povuuu utafikiri Ameibiwa mwanaume. Kuna watu sijui wapoje.Mke mtarajiwa usiwe mkali hawa wanaona gere kwa kuwa hawana vigezo vyako
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahaha sijui sasa. Embu weka vigezo vyako apo tuvione.Nina cha ndevu za O tu..
Sisi tukija na vigezo vyetu utachomoka kweli!???
Sent using Jamii Forums mobile app
KJina lako linaanzia na herufi gani?. Na kwenye simu unaficha nini ahaha
Yes. Vigezo na mashart kuzingatiwa.Usijali, wakitokea. Lazima nikuite uwafanyie usahili. Mana najua huwezi nichagulia mtu mwenye tabia mbaya ahahah
Funga Uzi rasmi mkuuUnaweza ukawa mshindi leo ww mana loh unajitahd sana
Achana nao wasituharibie siku roho Yangu mieNamshangaa eti, anatoa povuuu utafikiri Ameibiwa mwanaume. Kuna watu sijui wapoje.
Naunga mkono na miguu yote hoja hiiHaha nilimsahau ila kina Frank wapole
Daa hii dunia hatulingani . Utashangaa kunalijamaa lina hizo sifa zote
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya masharti umepewa na mganga?!
Mi niliyatoa yote ukakimbia ww tu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Na wewe nipunguzie masharti basi hata kidogo