Mwenza bora anahitajika

Mwenza bora anahitajika

Dah! kule kwenye ule uzi hata mimi niliwahi kuchangia mara moja na kukiri ya kwamba huwa naupitia mara kwa mara ule uzi kwa lengo la kusoma stori za mabaharia na namna 'wanavyokula kimasihara'.

Hahah😂😂😂.. ule uzi unaponza sana aise. Mie sjawai changia kule japo naupitia kila siku..
 
[emoji38]mwaka mbali mno punguza kidogo
Ahaha wiki 3 nilete ushuhuda apa. Hiyo itakuwa ni uongo kwa kweli. "Ananipenda sana, yuko bora kuliko wote,ana mapenz ya dhati, sijui alichelewa wapi""... Ahahah loooh haiwezekani.
 
Ahaha wiki 3 nilete ushuhuda apa. Hiyo itakuwa ni uongo kwa kweli. "Ananipenda sana, yuko bora kuliko wote,ana mapenz ya dhati, sijui alichelewa wapi""... Ahahah loooh haiwezekani.
Hata miezi6 inatosha
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] niliwaza mbali aise. Icho kigezo nimekifaulu. Itabidi niache tizi ili nitafute kakitambi ka kuzugia[emoji23]

Adi kufika mwezi wa10 takuwa nishapata vigezo ata10. Ngoja nipambane aise[emoji3][emoji3][emoji3]
Ahahaha jaribu kuchangia uone utakavyokuponza.
 
Back
Top Bottom