Mnazareth
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 3,474
- 7,404
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kelvin marcus yeye kamwachia ndugu Kichwa Kichafu yani siwaelewi. Na kichwa kichafu kamuachia kelvin
Sent using Jamii Forums mobile app
Saafi!! 😀
Mfuate kule piyemuni.😅
Ewaaaa!!! Nakazia Mtani.
Kwa nini unasema kazi ipo Mtani? Huenda bado anapembua pumba na mchele. 😂
Saafi!! 😀
Umefanya nimeendapo kuchungulia kama amefunga kweli. Teh teh.
Ujue siwezagi hiyo kazi. 😀😀😀Asipokuja wewe utakuwa njiwa mpeleka salamu
Umefanya nimeendapo kuchungulia kama amefunga kweli. Teh teh.
Basi msubirie hapa hapa atakamu tu. 😀
Ujue siwezagi hiyo kazi. 😀😀😀
Naweza ishia njiani bure halafu nikaja na jibu la kuongopa ilimradi tu nisirudie kufanya hiyo kazi. 😅
Naona mchakato umechukua muda mrefu sana!,Muda wote huo jimbo liko wazi na wagombea hawajakata tamaa [emoji23][emoji23]Kwa nini unasema kazi ipo Mtani? Huenda bado anapembua pumba na mchele. [emoji23]
Miwani nimeacha Ofisini hivyo hata sioni vizuri ngoja aje sumbai hebu atuambie. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
W a c h a j a n j a j a n j a w e w e . 😂😂
Kwa kauli hii hakuna kurudia uchaguzi nitakuwa nimepita bila kupingwa
Saafi!! [emoji3]
Mfuate kule piyemuni.[emoji28]
Naomba ukamtoe mwali ndani nipate kusemezana naye
Asipokuja wewe utakuwa njiwa mpeleka salamu
Vipi pamefungwa kweli?
Mrembo pujo unaitwa huku.Miwani nimeacha Ofisini hivyo hata sioni vizuri ngoja aje sumbai hebu atuambie. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
W a c h a j a n j a j a n j a w e w e . [emoji23][emoji23]
Hahah ila naona mgombea mwenyewe amepoteza hali ya Kujiamini kabisa!!Ewaaaa!!! Nakazia Mtani.