Mnazareth
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 3,474
- 7,404
Unataka kusema hata Pm bado haujafika!!?
Hauwezi ukawa serious wewe!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kusema hata Pm bado haujafika!!?
Naona mchakato umechukua muda mrefu sana!,Muda wote huo jimbo liko wazi na wagombea hawajakata tamaa [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka kusema hata Pm bado haujafika!!?
Hauwezi ukawa serious wewe!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Taratibu mzee. Mwendo mdogo mdogo. Shadeeya akusaidieMdogo mdogo mpaka nafika pm kwa sasa Niko kibarazani bado sijaanza kugonga mlango wa pm
kelvin marcus yeye kamwachia ndugu Kichwa Kichafu yani siwaelewi. Na kichwa kichafu kamuachia kelvin
Sent using Jamii Forums mobile app
kelvin marcus achukue jimbo pujo popote ulipo shera tumekwisha order!
Mnaotafuta wapenzi mitandaoni uwa mna kasoro gani mpaka mnakosa wapenzi huko mitaani?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnaotafuta wapenzi mitandaoni uwa mna kasoro gani mpaka mnakosa wapenzi huko mitaani?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inategemea mkuu sio wote tunaishi mtaani .wengine tunaishi mtandaoni ndo maana tunatafutana sisi kwa sisi..
Vipi huko mtaani lakini
Hauwezi kumjua mtu tabia zake mkikutana mtandaoni na hata muonekano wake..
Ni vizuri ukimuona mtaani au ana kwa ana itakusaidia kujua vitu vingi kumuhusu yeye.
Au mnaogopa kutongoza?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio lazima wote tupende kwa kuangalia tabia ya mtu au muonekano wake...
Huku tunapenda kwa kuangalia maandishi hayo mengine tumewaachia nyie wa mtaani
Kutongoza mtaani kweli tunaogopa kama wewe unavyoogopa kutongoza mtandaoni
Naaam mziki na dj mie talipia.kelvin marcus achukue jimbo pujo popote ulipo shera tumekwisha order!
Hao vifaa hawatumii simu?Hapana..
tofauti kabisa mtaani kuna vifaa wa kwenye mitandao wanasubiri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahahahahahhaa haya mkuu.Sijajua kwa mademu wengine.
Ila wangu whatsapp kamaliza.
Hana muda wa facebook,instagram .
na akiniona naandika kitu jamii forum ananiuliza una chat na nani?.
Haijui
Sent using Jamii Forums mobile app