Mwenza wa Kamala Harris, Bw. Douglas Emhoff ziarani Kituo cha Michezo cha Jakaya Kikwete Youth Park, Dar

Mwenza wa Kamala Harris, Bw. Douglas Emhoff ziarani Kituo cha Michezo cha Jakaya Kikwete Youth Park, Dar

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
IMG-20230330-WA0011.jpg

Mwenza wa Makamu wa Rais wa Marekani Mhe. Kamala Harris Bw. Douglas Emhoff akicheza mpira wa Kikapu pamoja na kupiga Mpira wa Tuta (Penalty) mara baada ya kufanya ziara katika Kituo cha Michezo cha Jakaya Kikwete Youth Park jijini Dar es Salaam Dar es Salaam leo Machi 30, 2023.

IMG-20230330-WA0013.jpg

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akimkaribisha Mwenza wa Makamu wa Rais wa Marekani Mhe. Kamala Harris Bw. Douglas Emhoff (kulia) alipotembelea Kituo Cha Michezo cha Jakaya Kikwete Youth Park kilichopo Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam leo Machi 30, 2023.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hapa nchini kwao Marekani Kamala Harris na mumewe Douglass walipoenda kuwatembelea wanafunzi mashoga na kuwapa support gay community. Mfuniko na pipa vimekutana

download.jpeg


 
Hapa nchini kwao Marekani Kamala Harris na mumewe Douglass walipoenda kuwatembelea wanafunzi mashoga na kuwapa support gay community. Mfuniko na pipa wamekutana

View attachment 2571009

Shoga umemuona mwenzako hapo.

Acha michezo michafu wafiraji mbinguni mtapasikia tu
 
So me najiuliza ina maana MHESHIMIWA RAIS kumpokea huyu mwanamke ambaye wazi wazi anasapoti matendo ya ushoga na ujumbe wake wa kusapoti ushoga ina maana gani kwake yeye ambaye ni mshika Imani na swala tano?

I mean Imani yake inasapoti haya mambo, je kwann hakuweza kuwa mtata kama magufuri kutokuweka ukaribu na hawa mashetani.
 
Sidhani hata wao kama wana watoto wa kiume, watafurahi wakijiingiza kwenye ushoga.
 
So me najiuliza ina maana MHESHIMIWA RAIS kumpokea huyu mwanamke ambaye wazi wazi anasapoti matendo ya ushoga na ujumbe wake wa kusapoti ushoga ina maana gani kwake yeye ambaye ni mshika Imani na swala tano?

I mean Imani yake inasapoti haya mambo, je kwann hakuweza kuwa mtata kama magufuri kutokuweka ukaribu na hawa mashetani.
Tanzania haina dini,yeye ni Raisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania
 
Wamlete uswazi huku ndiyo kuna watoto wanacheza michezo real

Ova
 
Hao mdogo wasipokuwa makini huenda wakawa michicha mwiba wote!..tupinge uchoko ndugu zangu.
 
View attachment 2570903
Mwenza wa Makamu wa Rais wa Marekani Mhe. Kamala Harris Bw. Douglas Emhoff akicheza mpira wa Kikapu pamoja na kupiga Mpira wa Tuta (Penalty) mara baada ya kufanya ziara katika Kituo cha Michezo cha Jakaya Kikwete Youth Park jijini Dar es Salaam Dar es Salaam leo Machi 30, 2023.

View attachment 2570969
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akimkaribisha Mwenza wa Makamu wa Rais wa Marekani Mhe. Kamala Harris Bw. Douglas Emhoff (kulia) alipotembelea Kituo Cha Michezo cha Jakaya Kikwete Youth Park kilichopo Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam leo Machi 30, 2023.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Atujengee sports academies basi.
 
Mwenza wa Makamu wa Rais wa Marekani Mhe. Kamala Harris Bw. Douglas Emhoff akiwa katika Picha ya pamoja na vijana wanaojifunza mpira wa Miguu na Kikapu katika Kituo Cha Jakaya Kikwete Youth Park Dar es Salaam leo Machi 30, 2023. Waziri Mhe. Dkt. Pindi Chana ameshiriki ziara hiyo.View attachment 2571382View attachment 2571383
20230330_201103.jpg


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mwenza wa Makamu wa Rais wa Marekani Mhe. Kamala Harris Bw. Douglas Emhoff akiwa katika Picha ya pamoja na vijana wanaojifunza mpira wa Miguu na Kikapu katika Kituo Cha Jakaya Kikwete Youth Park Dar es Salaam leo Machi 30, 2023. Waziri Mhe. Dkt. Pindi Chana ameshiriki ziara hiyo.View attachment 2571382View attachment 2571383View attachment 2571384

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
It's good to know mwenza wa kiongozi Mwanamke anaandamana na mwenza wake katika ziara mbalimbali.
This is well noted.
P
 
Back
Top Bottom