Mwenza wa maisha (mume) anahitajika!

Mwenza wa maisha (mume) anahitajika!

Habari zenu wanajamii.
Jamani maisha ni safari ndefu na inahitaji uvumilivu na ujasiri. Nimetumia ujasiri wangu kwa kujitokeza katika jukwaa hili ili kuweza kupata mwenza ambae atakuwa mume kama Muumba akibariki. Kwa aliye na nia ya dhati haswa naomba tuwasiliane kwa private message.

Sifa zangu
Umri: Miaka 30
Umbo:Ni wa kawaida sana, na kwa wale wanopenda makalio makubwa, mimi sina jamani, ni bora kuwa mkweli!
Urefu: Centimeter158
Rangi: Maji ya maharage
Elimu: Degree mbili
Kazi: Muajiriwa wa serikali
Dini:Islam

Sifa za Mtarajiwa
Umbo: asiwe na kitambi kwa kweli
Urefu: itakuwa vyema kama akinizidi maana isije leta zahma
Rangi: yeyote
Elimu: Degree
Kazi: Ni muhim maana maisha ni magumu sana
Dini: Islam, ila uwe hujaoa!

Najua kunawatakoleta mzaha, ni kawaida sana kwenye jamii. Nipo tayari kwa maswali mtakayoyauliza. Karibuni!



Mashaalah shungi hiyo bwana!!!! Yaani inanipita hivi hivi kweli jamani, maskini mimi kila bahati ikija basi namisi kigezo kimoja tu......kwa nini wazee?...............ah! all the best Nareem
 
Mashaalah shungi hiyo bwana!!!! Yaani inanipita hivi hivi kweli jamani, maskini mimi kila bahati ikija basi namisi kigezo kimoja tu......kwa nini wazee?...............ah! all the best Nareem

Pole sana DSpecial, pia shukran kwa ujumbe. Usihofu juu ya hili kwani utapata mwingine aliye bora zaidi na zaidi. Kuwa na subira na unyenyekevu tu! Nami nakutakia kila la kheri katika hili.
 
Bint Nareem, unaonekana kuwa na busara sana. Nimependa sana unavojibu maswali. Bila kujali mengine unaonekana kuwa mama mwema hapo baadaye. Mungu akujaalie upate wako.
 
ol the best nareem! kuwa macho na visarata wa kitaaa!
 
Bint Nareem, unaonekana kuwa na busara sana. Nimependa sana unavojibu maswali. Bila kujali mengine unaonekana kuwa mama mwema hapo baadaye. Mungu akujaalie upate wako.

Shukran nyingi kwako MESTOD! Kwa kumtegemea Muumba natumai nitapata aliyemwema na atanisaidia nami pia kuwa mwema zaidi.
 
Sifa zingine zote ninazo kasoro degree ndio ninachukua sasa nipo mwaka wa 1 ila nipo kwenye ajira. Kuhusu imani je una swali?
 
Mi nina sifa zooooote,kasoro ni kwamba mi ni mkristo!
 
Habari zenu wanajamii.
Jamani maisha ni safari ndefu na inahitaji uvumilivu na ujasiri. Nimetumia ujasiri wangu kwa kujitokeza katika jukwaa hili ili kuweza kupata mwenza ambae atakuwa mume kama Muumba akibariki. Kwa aliye na nia ya dhati haswa naomba tuwasiliane kwa private message.

Sifa zangu
Umri: Miaka 30
Umbo:Ni wa kawaida sana, na kwa wale wanopenda makalio makubwa, mimi sina jamani, ni bora kuwa mkweli!
Urefu: Centimeter158
Rangi: Maji ya maharage
Elimu: Degree mbili
Kazi: Muajiriwa wa serikali
Dini:Islam

Sifa za Mtarajiwa
Umbo: asiwe na kitambi kwa kweli
Urefu: itakuwa vyema kama akinizidi maana isije leta zahma
Rangi: yeyote
Elimu: Degree
Kazi: Ni muhim maana maisha ni magumu sana
Dini: Islam, ila uwe hujaoa!

Najua kunawatakoleta mzaha, ni kawaida sana kwenye jamii. Nipo tayari kwa maswali mtakayoyauliza. Karibuni!

utafutaji mwema mama mm sio mwisilamu
 
Back
Top Bottom