Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu PMKuna mwanamke anawatoto watatu ni mlutheri pia mwajiriwa serikalini miaka 35
Long wikend kama hii sii unatakiwa unakata mauno tuu
wewe mzab zab kaa kimyaMwanamke mwenye mapenzi ya kweli? Are u serious?
Sio mimi ninamaanisha nikuunganishe nae?Karibu PM
Kwanini hataki kupima? hapo anamaanisha Hana uhakika na Afya yakeYupo nikuunganishe ila hataki kupima vp?
Sentensi yako hajaipenda na haiamini.😂Hakuna mwanamke mwenye mapenzi ya dhati mkuu hilo litambue kabisa kwanza litakusaidia sana hapa duniani..
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Sawa, niunganishe naye PM mkuiSio mimi ninamaanisha nikuunganishe nae?
Nawe umeanza misemo ya kelsea sio.wewe mzab zab kaa kimya
wivu mwenzako yupo serious na penzi lakudumu wewe unatania hebu toa gundu hukoNawe umeanza misemo ya kelsea sio.
Mambo mpenzi
upo serious kuoa ??Sawa, niunganishe naye PM mkui
Sio my new ID😂😂😂Kwamba hatujui kupenda
Yeye kama yupo serious aendeleee tuu. Awe na uhakika tuu kwamba ndalama hazipoteiwivu mwenzako yupo serious na penzi lakudumu wewe unatania hebu toa gundu huko
Nipo serious? Sijakuelewa kuuliza naamini wapiupo serious kuoa ??
kama ndio unaamini wapi
acha kuponda watu watadhani anataniaYeye kama yupo serious aendeleee tuu. Awe na uhakika tuu kwamba ndalama hazipotei
yes Udini au popote tuNipo serious? Sijakuelewa kuuliza naamini wapi
Nimejieleza hapo Mimi ni mkristo, lakini sibagui dini Kwa atakayekuwa tayari na din yanguyes Udini au popote tu
Watu gani hao? Mbona unataka kunibebesha lawama ambazo sioacha kuponda watu watadhani anatania