Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Kha..Kuna mwanamke anawatoto watatu ni mlutheri pia mwajiriwa serikalini miaka 35
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kha..Kuna mwanamke anawatoto watatu ni mlutheri pia mwajiriwa serikalini miaka 35
sio kidini hapana ni kiuhalisia unahitajika ujue nani anaendeana nawewe kwa kila kituNimejieleza hapo Mimi ni mkristo, lakini sibagui dini Kwa atakayekuwa tayari na din yangu
😂😂😂Bora umenishtua😂😂Sio my new ID
😂😂Vip mbona kushtukaKha..
Kiuno Hiki kigumu kma engine ya fuso😂😂Labda nikate mtiLong wikend kama hii sii unatakiwa unakata mauno tuu
Ah hakijapata fundi tuu, kikipata mtaalam mbona kinalainikaKiuno Hiki kigumu kma engine ya fuso😂😂Labda nikate mti
Mwanamke mwenye mapenzi ya kweli? Are u serious?
Sophy muchumba anaenda hayaa usicheme atujakuambia😂😂😂Bora umenishtua😂😂
Amina kwa niaba yakeMungu akujaalie hitaji la moyo wako
Kila la kheri
Sio wote wasanii au waongoHumu ukipata mmh! Itakuwa aliwekewa wanawake tumechokaga tunaona tu Kila aliyeko humu msanii tu
Haya mwaya nakutakia upatikanaji wa mwanamke wa chaguo lakoSio wote wasanii au waongo
MmmmhMwanamke mwenye mapenzi ya kweli? Are u serious?
Kweli asee leo siku murua kwa kupuyanga, vipi ushapata wa kupuyanga naye lakini?Leo nipo home mshkaji wangu, kesho panapo majaliwa ntaenda kupuyanga.
Yupo, unakaribishwa na wewe.Kweli asee leo siku murua kwa kupuyanga, vipi ushapata wa kupuyanga naye lakini?
Kuwa single baba ni kosa ?? Na una uhakika kuwa mama mtoto ake alimtoa mtandaoni??Ulichokosea mpaka ukawa single father ni kuokota mwanamke wa mtandaoni, naona unarudia kosa lilelile
3some?? 😳😳😳Yupo, unakaribishwa na wewe.
😂😂 Jaman, mimi sio muumini wa hizo mambo. Kutoka out kuhave fun basi.3some?? 😳😳😳
Aaanhaa kumbee🤔🤔😂😂 Jaman, mimi sio muumini wa hizo mambo. Kutoka out kuhave fun basi.
Aaanhaa kumbee🤔🤔
Nikajua mambo yetu yale🤣🤣