National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Mnyonge myongeni tuu🙄🙄Bas subiri dawa imkolee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnyonge myongeni tuu🙄🙄Bas subiri dawa imkolee
Mzabzab umeamua kubadilika...umebadilika kweli au ndio unatafuta pisi ya kuila JFHabari za Jioni ndugu zangu wote!
Nimekuja na ID mpya kwa sababu nayotumia nadhani imekuwa maarufu sana hapa na ni ya siku nyingi.
Naanza maisha mapya sasa, nimeshaamua na nimeshamaliza ujana nina miaka 34 sasa, nina mtoto wa kiume miaka 9 sasa, nimekuwa na uzoefu wa familia sababu mimi ni single baba kwa muda wa zaidi ya miaka 6 sasa.
Nahitaji kuingia katika maisha mapya ya mahusiano ya kiutu uzia / Ndoa na kukuza familia.
Natamani saana nipate mwanamke aliye tayrai na future kubwa ya maisha pia aliye tayari kwa aina ya maisha nayotaka, akiwa na mtoto kwangu haina shida, miaka pia sio shida kwangu. awe na mapenzi ya kweli na mwenye kujitambua vizuri, kabila lolote, japo kuna baadhi nitayapa kipaumbele, mimi ni mkristo nasali lutheran, naishi Dar es salaam.
NB: Kwa yeyote atakayesoma hii post basi anaweza kunisaidia kwa njia yoyote hata kuniunganisha na ndugu/jamaa au rafiki yake.
Natanguliza Shukrani zangu saana. karibu PM yangu ipo wazi.
NB: ''kwa asiye serious naomba asi PM''
Well saidKila la kheri boss..
Sema shida n kwamba wanaeza kuja kibao watakaojifanya wako serious af baadae wakuletee mapichapicha. You need a high class vetting hapa
Nmeshamcheki amejibu subiri kituo kifuatacho[mention]Vi rendra [/mention] akija huko usijibu mkuu tafadhaliView attachment 2388139
Kwisha habari yangu 😁😁Nmeshamcheki amejibu subiri kituo kifuatacho
Utakuja kwenye Send off usijaliKwisha habari yangu 😁😁
Tupo tumejaa teleBora umempa ukweli wa mambo
🤣🤣🤣 Tatizo lenu hamna trako🤣🤣🤣🤣Tupo tumejaa tele
Habari za Jioni ndugu zangu wote!
Nimekuja na ID mpya kwa sababu nayotumia nadhani imekuwa maarufu sana hapa na ni ya siku nyingi.
Naanza maisha mapya sasa, nimeshaamua na nimeshamaliza ujana nina miaka 34 sasa, nina mtoto wa kiume miaka 9 sasa, nimekuwa na uzoefu wa familia sababu mimi ni single baba kwa muda wa zaidi ya miaka 6 sasa.
Nahitaji kuingia katika maisha mapya ya mahusiano ya kiutu uzia / Ndoa na kukuza familia.
Natamani saana nipate mwanamke aliye tayrai na future kubwa ya maisha pia aliye tayari kwa aina ya maisha nayotaka, akiwa na mtoto kwangu haina shida, miaka pia sio shida kwangu. awe na mapenzi ya kweli na mwenye kujitambua vizuri, kabila lolote, japo kuna baadhi nitayapa kipaumbele, mimi ni mkristo nasali lutheran, naishi Dar es salaam.
NB: Kwa yeyote atakayesoma hii post basi anaweza kunisaidia kwa njia yoyote hata kuniunganisha na ndugu/jamaa au rafiki yake.
Natanguliza Shukrani zangu saana. karibu PM yangu ipo wazi.
NB: ''kwa asiye serious naomba asi PM''