prince uweri
Senior Member
- Feb 6, 2016
- 112
- 88
Wakuu nisaidieni mawazo kidogo,
Nina jamaa yangu hivi majuzi kalazimika kurudisha pesa za michango ya harusi yake baada ya mwenza wake kugoma kufunga ndoa. Ishu iko hivi jamaa anafanya kazi Shinyanga maeneo ya Kahama lakini familia maana ya mke na watoto wake wawili wanaishi Mwanza ambako wamejenga.
Baada ya kupanga na mwenzake waliyeishi nae miaka tisa kuwa sasa ni wakati wa kuhalalisha ndoa wakakubaliana vizuri. Kijana kaanza michakato na mambo yakaanza kwa kasi sana ikiwa ni taarifa kwa ndugu jamaa na marafiki am apo vikao vilianza na taratibu zingine za kikanisa.
Hivyo jamaa akawa kila anapopata likizo ni kufuatili kamati ya vikao imefikia wapi na kwa bahati hakuna kilicho haribika mpaka tarehe ikawa imeshajulikana na ikawa imebaki mambo ya kusubiri tarehe.
Ikiwa imebaki mwenzi mmoja kufika tarehe husika, ikatokea ishu ya ajabu sana yaani huyu akapata likizo kama kawaida kamtaarifu mwenzake kuwa anakuja lakini kabla ya kufika Mwanza akamwambia mwenzie kuwa atapita kwanza kwao (kwa kijana) amboko shughuli ingefanyika.
Lakini mke akamwambia aache tu kuwasumbua ndugu zake kwasababu yeye hayuko tayari kuishi nae. Kijana hakuamini ikabidi kweli aache kwenda kwao na kuelekea Mwanza ambako mbaya zaidi hakumkuta mkewe na akakuta watoto wameachwa kwa jirani. Alipouliza majirani walimjibu huyu kasema kaenda hospitali. Kijana alipojaribu kuwasiliana nae simu yake haikujibiwa.
Kijana hakuhamaki akabuy time mpaka siku iliyofuata. Baada ya hapo ilimchuku siku kama 5 bila mawasiliano na alipoona muda wa kurudi kazini umewadia na mdada hapatikani kwenye simu aliwasiliana na ukweni nako hawakuwa wanajua chochote. Jamaa akatoa ripoti polisi na ustawi wa jamii.
Hivo akachukuwa watoto wake akapeleka kwa dada yake nje kabisa ya mwanzani nyumba akaweka mlinzi yeye akarudi zake kazini. Akiwa huko baada familia yake kuchanganyikiwa walianza kumtafuta yule mdada kila sehemu waliloamini anaweza kuwepo bila mafanikio.
Baada ya wiki mbili hivi mdada akaibuka na kudai ni kweli hana mpango wa kuuishi na mshikaji kisa anadai ajisikiii tu. Basi vikao mbli mbali vya familia viakaamua hiyo mipango ya ndoa ife na jamaa akalazimika kuanza kurudisha hela za watu. Baada ya muda huyu msichana kaanza kurudi kwa jamaa eti anaomba msamaha hii ni halali jamani?.
Kisa ni cha kweli.
Nina jamaa yangu hivi majuzi kalazimika kurudisha pesa za michango ya harusi yake baada ya mwenza wake kugoma kufunga ndoa. Ishu iko hivi jamaa anafanya kazi Shinyanga maeneo ya Kahama lakini familia maana ya mke na watoto wake wawili wanaishi Mwanza ambako wamejenga.
Baada ya kupanga na mwenzake waliyeishi nae miaka tisa kuwa sasa ni wakati wa kuhalalisha ndoa wakakubaliana vizuri. Kijana kaanza michakato na mambo yakaanza kwa kasi sana ikiwa ni taarifa kwa ndugu jamaa na marafiki am apo vikao vilianza na taratibu zingine za kikanisa.
Hivyo jamaa akawa kila anapopata likizo ni kufuatili kamati ya vikao imefikia wapi na kwa bahati hakuna kilicho haribika mpaka tarehe ikawa imeshajulikana na ikawa imebaki mambo ya kusubiri tarehe.
Ikiwa imebaki mwenzi mmoja kufika tarehe husika, ikatokea ishu ya ajabu sana yaani huyu akapata likizo kama kawaida kamtaarifu mwenzake kuwa anakuja lakini kabla ya kufika Mwanza akamwambia mwenzie kuwa atapita kwanza kwao (kwa kijana) amboko shughuli ingefanyika.
Lakini mke akamwambia aache tu kuwasumbua ndugu zake kwasababu yeye hayuko tayari kuishi nae. Kijana hakuamini ikabidi kweli aache kwenda kwao na kuelekea Mwanza ambako mbaya zaidi hakumkuta mkewe na akakuta watoto wameachwa kwa jirani. Alipouliza majirani walimjibu huyu kasema kaenda hospitali. Kijana alipojaribu kuwasiliana nae simu yake haikujibiwa.
Kijana hakuhamaki akabuy time mpaka siku iliyofuata. Baada ya hapo ilimchuku siku kama 5 bila mawasiliano na alipoona muda wa kurudi kazini umewadia na mdada hapatikani kwenye simu aliwasiliana na ukweni nako hawakuwa wanajua chochote. Jamaa akatoa ripoti polisi na ustawi wa jamii.
Hivo akachukuwa watoto wake akapeleka kwa dada yake nje kabisa ya mwanzani nyumba akaweka mlinzi yeye akarudi zake kazini. Akiwa huko baada familia yake kuchanganyikiwa walianza kumtafuta yule mdada kila sehemu waliloamini anaweza kuwepo bila mafanikio.
Baada ya wiki mbili hivi mdada akaibuka na kudai ni kweli hana mpango wa kuuishi na mshikaji kisa anadai ajisikiii tu. Basi vikao mbli mbali vya familia viakaamua hiyo mipango ya ndoa ife na jamaa akalazimika kuanza kurudisha hela za watu. Baada ya muda huyu msichana kaanza kurudi kwa jamaa eti anaomba msamaha hii ni halali jamani?.
Kisa ni cha kweli.