Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kabisa kwa sabau mshikaji baada ya kubanwa sana na familia yameibuka mengine kuwa huyu mdada ni mara ya nne kutoroka kwa nyakati tofauti tofauti n kurudi lakini jamaa alikuwa akimalizana naye kimya kimya. Mbaya zaidi mshikaji anaona kama bado anastahili msamaha. mkuu sasa sijui huyu mwanamke alikuwa akitumia mbinu gani.mwanamke akikuambia hawez kuolewa nawe huwa ana maanisha kweli.
Huyo mwanamke atakuwa na jamaa yake huko sasa kaona jamaa haeleweki ndio karud kwa jamaa.
Huyo jamaa ajitambui kbs mwanamke anafikia hatua ya kukudharirisha kias hicho halaf unamkubali.
Jamas apige chin huyo sio mwanamke.
Jamaa inabid ajitathimin sana anaweza akalea watoto wa mwanaume mwenzie.Ni kweli kabisa kwa sabau mshikaji baada ya kubanwa sana na familia yameibuka mengine kuwa huyu mdada ni mara ya nne kutoroka kwa nyakati tofauti tofauti n kurudi lakini jamaa alikuwa akimalizana naye kimya kimya. Mbaya zaidi mshikaji anaona kama bado anastahili msamaha. mkuu sasa sijui huyu mwanamke alikuwa akitumia mbinu gani.
Huyu Dada si bure kuna mtu anamsumbua! Labda kwa vile upo mbali nae na je Ukisafiri hua unarudi nyumban upatapo likizo tuu au?Wakuu nisaidieni mawazo kidogo,
Nina jamaa yangu hivi majuzi kalazimika kurudisha pesa za michango ya harusi yake baada ya mwenza wake kugoma kufunga ndoa. Ishu iko hivi jamaa anafanya kazi Shinyanga maeneo ya Kahama lakini familia maana ya mke na watoto wake wawili wanaishi Mwanza ambako wamejenga.
Baada ya kupanga na mwenzake waliyeishi nae miaka tisa kuwa sasa ni wakati wa kuhalalisha ndoa wakakubaliana vizuri. Kijana kaanza michakato na mambo yakaanza kwa kasi sana ikiwa ni taarifa kwa ndugu jamaa na marafiki am apo vikao vilianza na taratibu zingine za kikanisa.
Hivyo jamaa akawa kila anapopata likizo ni kufuatili kamati ya vikao imefikia wapi na kwa bahati hakuna kilicho haribika mpaka tarehe ikawa imeshajulikana na ikawa imebaki mambo ya kusubiri tarehe.
Ikiwa imebaki mwenzi mmoja kufika tarehe husika, ikatokea ishu ya ajabu sana yaani huyu akapata likizo kama kawaida kamtaarifu mwenzake kuwa anakuja lakini kabla ya kufika Mwanza akamwambia mwenzie kuwa atapita kwanza kwao (kwa kijana) amboko shughuli ingefanyika.
Lakini mke akamwambia aache tu kuwasumbua ndugu zake kwasababu yeye hayuko tayari kuishi nae. Kijana hakuamini ikabidi kweli aache kwenda kwao na kuelekea Mwanza ambako mbaya zaidi hakumkuta mkewe na akakuta watoto wameachwa kwa jirani. Alipouliza majirani walimjibu huyu kasema kaenda hospitali. Kijana alipojaribu kuwasiliana nae simu yake haikujibiwa.
Kijana hakuhamaki akabuy time mpaka siku iliyofuata. Baada ya hapo ilimchuku siku kama 5 bila mawasiliano na alipoona muda wa kurudi kazini umewadia na mdada hapatikani kwenye simu aliwasiliana na ukweni nako hawakuwa wanajua chochote. Jamaa akatoa ripoti polisi na ustawi wa jamii.
Hivo akachukuwa watoto wake akapeleka kwa dada yake nje kabisa ya mwanzani nyumba akaweka mlinzi yeye akarudi zake kazini. Akiwa huko baada familia yake kuchanganyikiwa walianza kumtafuta yule mdada kila sehemu waliloamini anaweza kuwepo bila mafanikio.
Baada ya wiki mbili hivi mdada akaibuka na kudai ni kweli hana mpango wa kuuishi na mshikaji kisa anadai ajisikiii tu. Basi vikao mbli mbali vya familia viakaamua hiyo mipango ya ndoa ife na jamaa akalazimika kuanza kurudisha hela za watu. Baada ya muda huyu msichana kaanza kurudi kwa jamaa eti anaomba msamaha hii ni halali jamani?.
Kisa ni cha kweli.
Huyo jamaa jinga kabisa hana msimamo. Huyo si mwanamke wa kufaa kuoa tena.Hapana mkuu siyo mimi ni jamaa yangu wa karibu sana. Sasa cha ajabu sana ni kuwa jamaa amefikia hatu anaonesha dalili za kulegeza uzi make familia ilipiga marufuku kwa wanafamili wote kutojihusisha na yule mdada. Lakini juzi mshikaji kaaja kwao anaomba kuitisha kikoa ili familia ione namna ya kumsamehe lakini familia imechomoa. Kwa kuwa alishindwa kueleza kama anafahamu alikokuwa kajichimbia kwa kipindi chote cha wiki mbili. Kwa sasa mdada yuko kwao.
Hili ndio jibu la swali kwa mtoa mada.Huyu dada kakutana n tapeli za mapenzi la speed ya 4G
Kumbuka mwenza ni mke. Omba Mods wabadilshe heading.Be the first to reply
Anataka uendelee kuwa mchepuko , hiyo ni massive disrespect. Kama anajielewa hawez kukubali kuwa backup, ni upumbavuWakuu nisaidieni mawazo kidogo,
Nina jamaa yangu hivi majuzi kalazimika kurudisha pesa za michango ya harusi yake baada ya mwenza wake kugoma kufunga ndoa. Ishu iko hivi jamaa anafanya kazi Shinyanga maeneo ya Kahama lakini familia maana ya mke na watoto wake wawili wanaishi Mwanza ambako wamejenga.
Baada ya kupanga na mwenzake waliyeishi nae miaka tisa kuwa sasa ni wakati wa kuhalalisha ndoa wakakubaliana vizuri. Kijana kaanza michakato na mambo yakaanza kwa kasi sana ikiwa ni taarifa kwa ndugu jamaa na marafiki am apo vikao vilianza na taratibu zingine za kikanisa.
Hivyo jamaa akawa kila anapopata likizo ni kufuatili kamati ya vikao imefikia wapi na kwa bahati hakuna kilicho haribika mpaka tarehe ikawa imeshajulikana na ikawa imebaki mambo ya kusubiri tarehe.
Ikiwa imebaki mwenzi mmoja kufika tarehe husika, ikatokea ishu ya ajabu sana yaani huyu akapata likizo kama kawaida kamtaarifu mwenzake kuwa anakuja lakini kabla ya kufika Mwanza akamwambia mwenzie kuwa atapita kwanza kwao (kwa kijana) amboko shughuli ingefanyika.
Lakini mke akamwambia aache tu kuwasumbua ndugu zake kwasababu yeye hayuko tayari kuishi nae. Kijana hakuamini ikabidi kweli aache kwenda kwao na kuelekea Mwanza ambako mbaya zaidi hakumkuta mkewe na akakuta watoto wameachwa kwa jirani. Alipouliza majirani walimjibu huyu kasema kaenda hospitali. Kijana alipojaribu kuwasiliana nae simu yake haikujibiwa.
Kijana hakuhamaki akabuy time mpaka siku iliyofuata. Baada ya hapo ilimchuku siku kama 5 bila mawasiliano na alipoona muda wa kurudi kazini umewadia na mdada hapatikani kwenye simu aliwasiliana na ukweni nako hawakuwa wanajua chochote. Jamaa akatoa ripoti polisi na ustawi wa jamii.
Hivo akachukuwa watoto wake akapeleka kwa dada yake nje kabisa ya mwanzani nyumba akaweka mlinzi yeye akarudi zake kazini. Akiwa huko baada familia yake kuchanganyikiwa walianza kumtafuta yule mdada kila sehemu waliloamini anaweza kuwepo bila mafanikio.
Baada ya wiki mbili hivi mdada akaibuka na kudai ni kweli hana mpango wa kuuishi na mshikaji kisa anadai ajisikiii tu. Basi vikao mbli mbali vya familia viakaamua hiyo mipango ya ndoa ife na jamaa akalazimika kuanza kurudisha hela za watu. Baada ya muda huyu msichana kaanza kurudi kwa jamaa eti anaomba msamaha hii ni halali jamani?.
Kisa ni cha kweli.
Anrudishe ila asifunge nae ndoa awe anajipigia tu kama mlupoWakuu nisaidieni mawazo kidogo,
Nina jamaa yangu hivi majuzi kalazimika kurudisha pesa za michango ya harusi yake baada ya mwenza wake kugoma kufunga ndoa. Ishu iko hivi jamaa anafanya kazi Shinyanga maeneo ya Kahama lakini familia maana ya mke na watoto wake wawili wanaishi Mwanza ambako wamejenga.
Baada ya kupanga na mwenzake waliyeishi nae miaka tisa kuwa sasa ni wakati wa kuhalalisha ndoa wakakubaliana vizuri. Kijana kaanza michakato na mambo yakaanza kwa kasi sana ikiwa ni taarifa kwa ndugu jamaa na marafiki am apo vikao vilianza na taratibu zingine za kikanisa.
Hivyo jamaa akawa kila anapopata likizo ni kufuatili kamati ya vikao imefikia wapi na kwa bahati hakuna kilicho haribika mpaka tarehe ikawa imeshajulikana na ikawa imebaki mambo ya kusubiri tarehe.
Ikiwa imebaki mwenzi mmoja kufika tarehe husika, ikatokea ishu ya ajabu sana yaani huyu akapata likizo kama kawaida kamtaarifu mwenzake kuwa anakuja lakini kabla ya kufika Mwanza akamwambia mwenzie kuwa atapita kwanza kwao (kwa kijana) amboko shughuli ingefanyika.
Lakini mke akamwambia aache tu kuwasumbua ndugu zake kwasababu yeye hayuko tayari kuishi nae. Kijana hakuamini ikabidi kweli aache kwenda kwao na kuelekea Mwanza ambako mbaya zaidi hakumkuta mkewe na akakuta watoto wameachwa kwa jirani. Alipouliza majirani walimjibu huyu kasema kaenda hospitali. Kijana alipojaribu kuwasiliana nae simu yake haikujibiwa.
Kijana hakuhamaki akabuy time mpaka siku iliyofuata. Baada ya hapo ilimchuku siku kama 5 bila mawasiliano na alipoona muda wa kurudi kazini umewadia na mdada hapatikani kwenye simu aliwasiliana na ukweni nako hawakuwa wanajua chochote. Jamaa akatoa ripoti polisi na ustawi wa jamii.
Hivo akachukuwa watoto wake akapeleka kwa dada yake nje kabisa ya mwanzani nyumba akaweka mlinzi yeye akarudi zake kazini. Akiwa huko baada familia yake kuchanganyikiwa walianza kumtafuta yule mdada kila sehemu waliloamini anaweza kuwepo bila mafanikio.
Baada ya wiki mbili hivi mdada akaibuka na kudai ni kweli hana mpango wa kuuishi na mshikaji kisa anadai ajisikiii tu. Basi vikao mbli mbali vya familia viakaamua hiyo mipango ya ndoa ife na jamaa akalazimika kuanza kurudisha hela za watu. Baada ya muda huyu msichana kaanza kurudi kwa jamaa eti anaomba msamaha hii ni halali jamani?.
Kisa ni cha kweli.